We vipi hiyo picha mbona hamna ni matone tu ya damu!!!! Tomato!!!!!!!!!!!
Duh, Kumekucha.............wazee wa kazi weshaanza tena....
Uko wapi ulinzi shirikishi....................?
haka ka-kauli ka kingese sana
Am on the way napita hapo, wasije anza kuteka magari! Let me be strategic nyuma ya mabasi!