G gilmanywele Member Aug 17, 2015 53 15 Jul 8, 2016 #221 simba45 mkali said: Benako ninayoiongelea ipo karibu na mpaka wa burundi na tanzania. Hapo kuna kituo kikubwa cha polisi, kizuizi cha barabarani, na ofisi za uhamiaji. Click to expand... Wewe bhana ,utabishana na watu wanaokaa wilaya hiyo ya Ngara.!? Ngara haina Benaco mbili; iko moja na ndo hiyo iliyo karibu na mpaka wa Rwanda.
simba45 mkali said: Benako ninayoiongelea ipo karibu na mpaka wa burundi na tanzania. Hapo kuna kituo kikubwa cha polisi, kizuizi cha barabarani, na ofisi za uhamiaji. Click to expand... Wewe bhana ,utabishana na watu wanaokaa wilaya hiyo ya Ngara.!? Ngara haina Benaco mbili; iko moja na ndo hiyo iliyo karibu na mpaka wa Rwanda.
I imanizabaho byiringiro Member Oct 23, 2016 6 0 Oct 29, 2016 #222 Wewe in wawapi ? Ushimen said: Hapana mkuu. Hao ni wale wanao toka Burundi bilashaka, sababu ndio wanao sumbua sana maeneo ya Ngara, Nyakanazi - Kakonko, Kibondo - Kigoma Click to expand...
Wewe in wawapi ? Ushimen said: Hapana mkuu. Hao ni wale wanao toka Burundi bilashaka, sababu ndio wanao sumbua sana maeneo ya Ngara, Nyakanazi - Kakonko, Kibondo - Kigoma Click to expand...
Ushimen JF-Expert Member Oct 24, 2012 37,217 85,354 Oct 29, 2016 #223 imanizabaho byiringiro said: Wewe in wawapi ? Click to expand... Wa hapa hapa
Mr Natafuta JF-Expert Member Sep 26, 2016 1,670 760 Oct 29, 2016 #224 3 hours ? hii sio ya nchi hii kabisa
Nahonyo JF-Expert Member Dec 28, 2012 5,374 5,016 Oct 29, 2016 #225 Mr Natafuta said: 3 hours ? hii sio ya nchi hii kabisa Click to expand... Itakua mkoa.
Mr Natafuta JF-Expert Member Sep 26, 2016 1,670 760 Oct 29, 2016 #226 Nahonyo said: Itakua mkoa. Click to expand... Kuna vitu vingine yaani ni matawi ya juu kabisa sio vya nchi hii
Nahonyo said: Itakua mkoa. Click to expand... Kuna vitu vingine yaani ni matawi ya juu kabisa sio vya nchi hii
Nahonyo JF-Expert Member Dec 28, 2012 5,374 5,016 Oct 29, 2016 #227 Mr Natafuta said: Kuna vitu vingine yaani ni matawi ya juu kabisa sio vya nchi hii Click to expand... Mchemba anayo habari?
Mr Natafuta said: Kuna vitu vingine yaani ni matawi ya juu kabisa sio vya nchi hii Click to expand... Mchemba anayo habari?
Mr Natafuta JF-Expert Member Sep 26, 2016 1,670 760 Oct 29, 2016 #228 Nahonyo said: Mchemba anayo habari? Click to expand... yuko jagwani anaweka mambo sawa wala habari sizan kama anazo
Nahonyo said: Mchemba anayo habari? Click to expand... yuko jagwani anaweka mambo sawa wala habari sizan kama anazo
Shuleless JF-Expert Member Aug 12, 2015 4,923 6,171 Oct 29, 2016 #229 Wakazi wa huko wangesema kuna maandamano ya BAVICHA ili msaada uje haraka...