Majambazi wajeruhi na kupora Ngara

Benako ninayoiongelea ipo karibu na mpaka wa burundi na tanzania. Hapo kuna kituo kikubwa cha polisi, kizuizi cha barabarani, na ofisi za uhamiaji.
Wewe bhana ,utabishana na watu wanaokaa wilaya hiyo ya Ngara.!? Ngara haina Benaco mbili; iko moja na ndo hiyo iliyo karibu na mpaka wa Rwanda.
 
Wakazi wa huko wangesema kuna maandamano ya BAVICHA ili msaada uje haraka...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…