Dawa ni kujiuzulu kwa Slaa hakuna jingine na majeshi yaelekezwe kwengine itakuwa hapajaharibika kitu ,kwani kwa hili tayari Slaa ameshakuwa hafai na sio siri au kuwalaumu wengine ,Slaa ameonekana kwenye vyombo vya habari akijilabu kwa mke wa mtu mwengine ,hapa ameharibu kabisa ,hivi tuseme Slaa alimuokota tu huyu na hakumuuliza masuali masuali na kumhoji kwa undani ,je kama alitumwa kumharibia na ndio Slaa akavamia na sasa amenasa.