Majaji wa upe- shallow judgements

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Jun 3, 2011
12,358
6,422
Wapendwa, nilisema humu hapo zamani, kuwa hiki kitendo cha JK kuwateua majaji kujaza nafasi eti kwa vile majaji hawatoshi kitaua the highly respected High Court of Tanzania. Angalia/soma judgements za hawa wateule, soma zipo nyingi wamezitoa, kuna mapungufu makubwa na kama zikienda Court of appeal zikasikilizwa na majaji watukufu wa zamani-Kimaro, Nsekela, etc to mention but a few, zitakuwa overturned majority of them if not all!!! Nawaheshimu sana, lakini wajiulize nafsi zao vile vile. You dont uplift a medical assistant to a medical doctor/specialist simply because there is shortage of specialist/medical doctors!! That is what JK did.!!! Tunawaheshimu sana tena sana, lakini wajitathimini kwa kusoma hukumu za akina marehemu Lugakingira, Katiti, Koroso etc etc. Nawaheshimu sana, sina nia ya kuwadharau, nasema ninaloliona kama mdau wa hii field. Naomba radhi kama nitawaudhi!!!
 
kuna majaji waajabu sana, angalia yule rwakibabila wa arusha ni balaa tupu a.k.a jaji fasta or voda fasta
 
kuna majaji waajabu sana, angalia yule rwakibabila wa arusha ni balaa tupu a.k.a jaji fasta or voda fasta

Nimesoma judgement yake, sidhani kama issues na facts alizoziadress Lwakibarila ni mpya. Zina precedents nyingi tu. Ajabu hakuna precedent hata moja aliyoinukuu. It is a common judicial maxim that analysis of the legal issue should be based/controlled by the decisions of earlier cases that have similar issues and facts to the case under investigations -stare decis- Be it binding or persuasive. Judgements za watukufu majaji hawa hazina that basic element of common law system which is a corner stone of our legal system. I will post some of the judgements for your perusal. Mimi sio mwanasheria, lakini.....!!
 
Ndugu naomba msilete siasa kwenye vitu vya msingi, majaji sio wanasiasa na hii kazi wamesomea, wewe uliyetoa maelezo hujui kinachosomwa na hao majaji utajuaje kama kakosea au hajakosea. Toa siasa zenu za kichaga hapa tumewachoka kwa huu ujinga mnaoendeleza
 
Ndugu naomba msilete siasa kwenye vitu vya msingi, majaji sio wanasiasa na hii kazi wamesomea, wewe uliyetoa maelezo hujui kinachosomwa na hao majaji utajuaje kama kakosea au hajakosea. Toa siasa zenu za kichaga hapa tumewachoka kwa huu ujinga mnaoendeleza

Sasa wachaga wametoka wapi!! You need to discuss issues na sio watu/personalities. Looks you are not informed leave alone being educated -notice the difference between an educated and an informed person. You are neither!!! Mtu kaweka hoja ichambue, discuss yaliyokuwa presented katika hoja yake. Usitukane! Hata majaji kama unasoma vitabu, kuna hukumu ambazo huwa zinakosewa, inabidi zifutwe kutoka kumbukumbu ya mahakama. tafuta kesi ya dibagula (Yesu sio Mungu uone kuwa mahakimu/majaji wanakosea hukumu kwa kiasi kikubwa. Usiwe mbishi bila hoja!!
 
Where there is a wrong,there is a remedy.Take action if you are aggrieved by any decision of any brethren.Vinginevyo hii itakuwa siasa.
 
Where there is a wrong,there is a remedy.Take action if you are aggrieved by any decision of any brethren.Vinginevyo hii itakuwa siasa.

Nadhani wewe ni mmoja wa hao niliowasema!! All in all truth remains that the professionalism of these respected, Learned brothers is questionable!
 
Nadhani wewe ni mmoja wa hao niliowasema!! All in all truth remains that the professionalism of these respected, Learned brothers is questionable!

Usikatae kila kitu, unatakiwa kutafakari kabla ya kukataa.
Soma vizuri Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tazania,1977 uone sifa za mtu kuwa jaji na ukimaliza kufanya hivyo uje na hoja ya majaji in question kutokuwa na elimu inayostahili, vinginevyo ushauri wa mayenga haukwepeki.
 
Usikatae kila kitu, unatakiwa kutafakari kabla ya kukataa.
Soma vizuri Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tazania,1977 uone sifa za mtu kuwa jaji na ukimaliza kufanya hivyo uje na hoja ya majaji in question kutokuwa na elimu inayostahili, vinginevyo ushauri wa mayenga haukwepeki.

You might be wright, lakini if somebody does not deliver, them even with diplomas, he or she should be relieved of his duties. They dont deliver to one's professional expectations. Soma judgements zao kama nilivyosema kwenye original posting yangu, utaona mapungufu makubwa tena sana. Bandio soma judgements za Lugakingira, Katiti , Koroso, and many many others old judges/dead and alive you will notice the obvious professional defficiency of our learned judges.
 
Wapendwa, nilisema humu hapo zamani, kuwa hiki kitendo cha JK kuwateua majaji kujaza nafasi eti kwa vile majaji hawatoshi kitaua the highly respected High Court of Tanzania. Angalia/soma judgements za hawa wateule, soma zipo nyingi wamezitoa, kuna mapungufu makubwa na kama zikienda Court of appeal zikasikilizwa na majaji watukufu wa zamani-Kimaro, Nsekela, etc to mention but a few, zitakuwa overturned majority of them if not all!!! Nawaheshimu sana, lakini wajiulize nafsi zao vile vile. You dont uplift a medical assistant to a medical doctor/specialist simply because there is shortage of specialist/medical doctors!! That is what JK did.!!! Tunawaheshimu sana tena sana, lakini wajitathimini kwa kusoma hukumu za akina marehemu Lugakingira, Katiti, Koroso etc etc. Nawaheshimu sana, sina nia ya kuwadharau, nasema ninaloliona kama mdau wa hii field. Naomba radhi kama nitawaudhi!!!

Mkuu, hukumu ya jaji mstaafu Mihayo katika kesi ya babu seya mpaka leo watu wanaitilia mashaka, ukumbuke kuwa hata yeye amewahi kujaribu kuisafisha nje ya mahakam- unamaana hata Mihayo ni UPE?, naona kama uzi wako niwa kisiasa zaidi......
 
Mkuu, hukumu ya jaji mstaafu Mihayo katika kesi ya babu seya mpaka leo watu wanaitilia mashaka, ukumbuke kuwa hata yeye amewahi kujaribu kuisafisha nje ya mahakam- unamaana hata Mihayo ni UPE?, naona kama uzi wako niwa kisiasa zaidi......
Sio jaji Mihayo tu,hata kesi ya mgombea binafsi ni majaji wakogwe ndio walitoa hukumu.
 
Katika Tanzania majaji ninaowaheshimu dead or alive Lugakingira and Mwalusanya na ukifuatilia serikali ilikuwa haiwapendi hata kidogo you could not influence them any how!
 
Katika Tanzania majaji ninaowaheshimu dead or alive Lugakingira and Mwalusanya na ukifuatilia serikali ilikuwa haiwapendi hata kidogo you could not influence them any how!

Na worry ya majaji wetu ni kuwa influenced na serikali. hawa walitenda haki, angalia hukumu zao how well reasoned
 
Ndugu naomba msilete siasa kwenye vitu vya msingi, majaji sio wanasiasa na hii kazi wamesomea, wewe uliyetoa maelezo hujui kinachosomwa na hao majaji utajuaje kama kakosea au hajakosea. Toa siasa zenu za kichaga hapa tumewachoka kwa huu ujinga mnaoendeleza
kama wanajifunza kupindua haki ni bora tusiwe na majaj!
 
Wapendwa, nilisema humu hapo zamani, kuwa hiki kitendo cha JK kuwateua majaji kujaza nafasi eti kwa vile majaji hawatoshi kitaua the highly respected High Court of Tanzania. Angalia/soma judgements za hawa wateule, soma zipo nyingi wamezitoa, kuna mapungufu makubwa na kama zikienda Court of appeal zikasikilizwa na majaji watukufu wa zamani-Kimaro, Nsekela, etc to mention but a few, zitakuwa overturned majority of them if not all!!! Nawaheshimu sana, lakini wajiulize nafsi zao vile vile. You dont uplift a medical assistant to a medical doctor/specialist simply because there is shortage of specialist/medical doctors!! That is what JK did.!!! Tunawaheshimu sana tena sana, lakini wajitathimini kwa kusoma hukumu za akina marehemu Lugakingira, Katiti, Koroso etc etc. Nawaheshimu sana, sina nia ya kuwadharau, nasema ninaloliona kama mdau wa hii field. Naomba radhi kama nitawaudhi!!!
Ulichokisema ni sahihi kabisa Mr, lkni nna observation mbili. Kwanza. Majinaya Majaji wateule hupelekwa kwa Mh Rais (sio JK) kutoka mahakama ya Rufaa, na kuaminishwa kuwa hao watu wana uwezo mkubwa sn wa kuwa maJaji, kazi yk inakuwa kuapisha, unless umhukumu kwa kuapisha lakini sio kuteua.
Pili (hii ni minor obs) why now baada ya Mahanga kushinda? Did u say the same kwa Lema? Lisu na juzi Aeshi?:wave:
 
Ulichokisema ni sahihi kabisa Mr, lkni nna observation mbili. Kwanza. Majinaya Majaji wateule hupelekwa kwa Mh Rais (sio JK) kutoka mahakama ya Rufaa, na kuaminishwa kuwa hao watu wana uwezo mkubwa sn wa kuwa maJaji, kazi yk inakuwa kuapisha, unless umhukumu kwa kuapisha lakini sio kuteua.
Pili (hii ni minor obs) why now baada ya Mahanga kushinda? Did u say the same kwa Lema? Lisu na juzi Aeshi?:wave:

Hii thread niliiweka kabla ya hizi hukumu. hata walioshinda/kushindwa hukumu za hawa watukufu zina mapungufu mengi. Bahati nzuri mimi ni mwanafunzi wa sheria mzee hivyo nazisoma sana na kuzilinganisha na za hawa watukufu - cases with similar facts and issues etc. Utaona mapungufu makubwa. Kama nilivyosema, ninawaheshimu sana. Tatizo nikuwa hawasomi sana!!!! Nimekuja kuona kama unataka kuandika hukumu ya haki and professional lazima usome precedents nyingi kujiridhisha kuwa hauendi nje ya kilichamuliwa nyuma kama kuna similar facts and issues.

Angalia kesi ya Dibagula-Yesu sio mwana wa Mungu mfano mmoja ingawa ilitolewa na PRM- Majaji walimtukana kabisa!!!
 
Back
Top Bottom