CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Wapendwa, nilisema humu hapo zamani, kuwa hiki kitendo cha JK kuwateua majaji kujaza nafasi eti kwa vile majaji hawatoshi kitaua the highly respected High Court of Tanzania. Angalia/soma judgements za hawa wateule, soma zipo nyingi wamezitoa, kuna mapungufu makubwa na kama zikienda Court of appeal zikasikilizwa na majaji watukufu wa zamani-Kimaro, Nsekela, etc to mention but a few, zitakuwa overturned majority of them if not all!!! Nawaheshimu sana, lakini wajiulize nafsi zao vile vile. You dont uplift a medical assistant to a medical doctor/specialist simply because there is shortage of specialist/medical doctors!! That is what JK did.!!! Tunawaheshimu sana tena sana, lakini wajitathimini kwa kusoma hukumu za akina marehemu Lugakingira, Katiti, Koroso etc etc. Nawaheshimu sana, sina nia ya kuwadharau, nasema ninaloliona kama mdau wa hii field. Naomba radhi kama nitawaudhi!!!