Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,056
Hiyo 50/50 ni gawio litokanalo na faida halisi (dividend from net profits or losses)Hiyo 50/50 nayo ni pesa mingi zaidi ya udhaniavyo
Kwa ujumla naamini tumepiga hatua fulani, ingawa mwanzoni nilikosoa utaratibu na mbinu tulizotumia.