Maiti yaombewa ifufuke, yagoma

Maiti yaombewa ifufuke, yagoma

Wajinga kweli waliwao. Tunamsubiri Mama Rwakatare naye aje awadanganye waumini wake kuwa kaoteshwa ndoto ya kufufua watu ila mpaka ulipe milioni 300 mpendwa wako afufuliwe na there's no refund. Yaani waumini wengine hawa, mi nafikiri kweli wanakuwa wamerogwa na hawa wachungaji. Ze Comedy at its best.


cc: King Majuto, Mze Small, Rais Kikwete, Mkuu wa Polisi, Massanja Mkandamizaji, Mpoki, Joti na wengineo
 
cku zote huwa nasema wajinga hawaishi labda bahari ije ikauke yote....
 
Et yagoma kufufuka utafikiri imependa kugomaaa heeee
 
Usipotoshe waumini ingawa wadanganyifu wapo pia
 
Labda yesu alikuwa busy anagawa damu yake. Ndo maana maiti haikufufuka!
 
teh teh teh teh wameshindwa kutoana mapepo sasa wanajaribu kufufuana.Ugalatia ni Ukhabith.
 
Dini ya haki ndio kuteka mabinti na kuuwa watu wasio na hatia we BOKO HARAM??????

Afadhali Boko haram wakati mwingi hawashughuliki na wasichana!
Na istoshe waliowachukua ni wasichana si chini ya miaka 12!

Wale LORD RESISTANCE ARMY wa uganda walikuwa wanachinja na kubaka kwa JINA LA YESU! Na walikuwa wanabeba vitoto vya miaka 5! Mpaka 6.

Wagalatia mnajifanya vipofu! Lkn mnajua kuwa nyie ndio wabaya kuliko hata hao boko haram!
 
Last edited by a moderator:
Namshkuru Mwenyezimungu hakunifanya niwe mjinga kama hawa Alama ya kujumlisha.
 
Tatizo hapa sio nguvu ya YESU IMESHIDWA KUFANYA KAZI isipokuwa watu kutofuata kanuni za upoNyaji /maombezi Mtu ambaye nafsi imechukuliwa akicheleweshwa kuirudisha kutoka shim¨®ni .unampoteza .Kwa hiyo kilichokosekana pale ni kutofahamu chanzo cha tatizo mapema ,na kuirejesha nafsi kabla hajakata pumzi
Hili ndilo kosa linalotokea kwa baadhi watu wengine kama kanumba ,chimfupa
japo wao walikuwa na mambo yao na miungu yao !-!!

Duh nmeipenda hyo, ningewashauri muwe mnakaa kule mahospitalini msaidie madr kurudisha hizo roho
 
Dini ya haki ndio kuteka mabinti na kuuwa watu wasio na hatia we BOKO HARAM??????

We mwendawazim kabisa na lile kund la ANT BARAKA linao choma makanisa na wale wakristo wenzenu wanao ripua mabomu arusha ....chizi kabisa ww

dini ya haki ni uislam na bado kidogo wooote mtaingia makundi kwa makundi
 
Back
Top Bottom