Mch. Msingwa ni mwerevu, yeye anaombea wazinzi wala wake za watu kwenye kampeni - ha ha haWAPI MCHUNGAJI MSIGWA hahaha
Tatizo hapa sio nguvu ya YESU IMESHIDWA KUFANYA KAZI isipokuwa watu kutofuata kanuni za upoNyaji /maombezi Mtu ambaye nafsi imechukuliwa akicheleweshwa kuirudisha kutoka shim¨®ni .unampoteza .Kwa hiyo kilichokosekana pale ni kutofahamu chanzo cha tatizo mapema ,na kuirejesha nafsi kabla hajakata pumzi
Hili ndilo kosa linalotokea kwa baadhi watu wengine kama kanumba ,chimfupa
japo wao walikuwa na mambo yao na miungu yao !-!!
Yaani watanzania bado tuko nyuma kwanini wakatae kwamba sio kansa inaweza kuwa alikuwa nayo muda mrefu huwa hatuna tabia za kupima kila mara binadamu wanataka kumpinga hata mungu alilolipitisha
Tatizo hapa
sio nguvu ya YESU IMESHIDWA KUFANYA KAZI isipokuwa watu kutofuata
kanuni za upoNyaji /maombezi Mtu ambaye nafsi imechukuliwa
akicheleweshwa kuirudisha kutoka shim¨®ni .unampoteza .Kwa hiyo
kilichokosekana pale ni kutofahamu chanzo cha tatizo mapema ,na
kuirejesha nafsi kabla hajakata pumzi
Hili ndilo kosa linalotokea kwa baadhi watu wengine kama kanumba
,chimfupa
japo wao walikuwa na mambo yao na miungu yao !-!!
Uyasemayo ni kweli ila nafurahishwa zaidi na picha/avatar yako jinsi unavyolia na CCM kukuchezea toka utotoni mwako mpaka hapa ulipofika bila maendeleo yeyote. Je, utaipigia kura mwakani baada ya kukusambaratisha miaka yote hiyo?
Kama Yesu alimfufua Lazaro na kuhaidi wale wataoamini watafanya zaidi ya yale....kwanini kama wewe Mkristo usiamini inawezekana?.....Watu kufa kimazingara ipo....kama unadhani ndugu yako kafa ktk mazingira tata unapoteza nini kumfanyia maombi ili kama ni msukule arudi?
Sioni tatizo mtu kufanya hayo maombi kama anatia shaka....ni mambo ya imani tu......kama binafsi (Mkatoliki) nawaombea marehemu na kuwafanyia ibada rasmi kuna tatizo gani watu kuombea mtu anayeaminika kufa ktk mazingira tata? Kazi ya kuamua kurudi ama kutokurudi ipo mikononi mwa Mungu sisi kazi yetu ni kuomba tu....Changamoto ktk Kanisa la sasa ni unabii wa kweli ktk roho maana hata YESU alisema Lazaro amelala tu hivyo hakubahatisha au kujaribu tu kuomba.....Unabii unafanya muombe kwa jinsi Mungu alivyowafunulia juu ya jambo hilo...
yaani watu wengine bana, wamesoma na elimu za maana wanazo, inakuwaje mpaka wanatapeliwa na watu kama kina gwajima? We uliona wapi maiti akafufuka kwa kuombewa!
hee kumbe hata quran imeandika andiko hili? naomba aya namim nijionee
Weka picha ya wakati marehemu anaombewa
yani we acha tu na zaidi nimelia niliposikia eti nadaiwa 470,000/= kama Mtanzania ndo kabisa nazidi kuchoka mkuu na wewe kwenye ilo deni humo.