BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,215
- 39,039
Bila shaka maison club ndo club ghali nchini Tz na yenye hadhi ya five star yani nyota5. Hii night club ipo masaki mtaa wa sea cliff. Maison huwez ingia kizembe lazma ufanye booking kama guest list before hapo ndo utaruhusiwa ingia ndani.
Kwa upande wa reservation bei zao zinaanza na 220,000- 12,000,000 sio poa. Kwa wale wa kupenda pisi kali hapa kuna kila aina ya pisi mfuko wako tu.
Ukitaka ujue Tanzania watu wanatumia pesa ingia hata siku1 tu uone watu wanavotumia pesa. Sisi wengine tuendelee kuvimba kitambaa cheupe.
Kwa upande wa reservation bei zao zinaanza na 220,000- 12,000,000 sio poa. Kwa wale wa kupenda pisi kali hapa kuna kila aina ya pisi mfuko wako tu.
Ukitaka ujue Tanzania watu wanatumia pesa ingia hata siku1 tu uone watu wanavotumia pesa. Sisi wengine tuendelee kuvimba kitambaa cheupe.