...Lole, wewe kweli ni original Chang'ombenian! Miaka hiyo uliyomaliza nafikiri utakuwa ulifuatana fuatana na kina Andrew Simkoko na yule dada yake sikumbuki jina lake, akina Anet Kibwasali, kina Peter Makorongo (RTD!) na Tammy na wengineo.
Walimu wa Changombe walikuwa kweli ni very, very dedicated. nakumbuka shule ile ilikuwa inaongoza shule zote za jirani za kibasila, mgulani, wailes na kadhalika.
Nimesikitika sana kuhusu Mr. Nkani! Mwalimu alikuwa anajua kutembeza fito yule si utani!lakini pia alikuwa dedicated kwenye kazi yake.
Mwl Kirwanda alikuwa the Best. Unakumbuka kuwa ndio aliongoza halaiki ya MIaka Kumi ya Uhuru ambayo wengi wanaamini kuwa ndio ilikuwa the best kuliko zote zilizofuata baadaye?
Thank you Mkuu, kwa taarifa yako!