BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,214
- 4,167
- Thread starter
- #41
Kunradhi Baba Desi , Mwalimu aliyenipiga kibao miaka hiyo na amefariki several years ago ni Mwl Nsibu(sio Mwl Nkane).My apologies and sorry for any inconveniences not intended.
Hata hivyo nimekumbuka waalimu kadhaa:
Mr Ntanga
Mrs Mwanza
Mrs Kahemele
Mrs Mwansasu
na wa zamani zaidi(asians)
Miss Figuiredo(later Mrs Fernandes)
Miss Killochia
Mrs Walji
na wazungu
Mr Brown
Mr Dalton mwalimu wa Dini
Miaka mingi imepita hapo naongelea 1964-68 sijui kwa sasa hivi wako wapi,
Mwenye habari tafadhali.
...Mwalimu Nsibu nakumbuka alikuwa mkali wa mambo ya kwaya na bendi ya shule yeye mwenyewe akiwa hodari wa kupiga filimbi!
Huyu Miss Figuiredo alikuwa na uhusiano na akina Roy na Endrico Fiquiredo ambao walikuwa tulikuwa tunakaa nao mitaa ya maghorofa ya keko lakini sisi tukiishi kwenye zile nyumba za NHC zilizoungana kama treni na ambao sasa ndio wanamiliki Studio ya kurekodia Muziki na Bendi ya Inafrica? Nadhani wote ama mmoja wao bado wanaishi pale.