KERENG'ENDE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 398
- 31
Haya maisha bora kwa kila Mtanzania mbona siya pati namimi mbona ni Mtanzania au ninakosea nini au natakiwa kuwa na kadi ya chama cha Mapinduzi? Mbona sielewi kila sikubheri ya jana.
Naomba msaada wa mawazo nifanyeje ili leo iwe bora kuliko jana,nimeamua kuhama mjini nikajaribu maisha ya kijijini ingawa sina uzoegu nayo pdngine huko kuna unafuu. Nime amua kuhama nyumba yangu na nina ipangisha nina msongo wa mawazo tafadhalini mnisaidie wapi nimekosea mpaka nina juta kuwa mtanzania.
Moderators mme toa tangazo langu la kupangisha nyumba Kule kwenye jukwa la biashara jamani mnataka niwe mwizi?
Au kwaszbabu mmejua kuwa sina kadi ya ccm?
Naomba msaada wa mawazo nifanyeje ili leo iwe bora kuliko jana,nimeamua kuhama mjini nikajaribu maisha ya kijijini ingawa sina uzoegu nayo pdngine huko kuna unafuu. Nime amua kuhama nyumba yangu na nina ipangisha nina msongo wa mawazo tafadhalini mnisaidie wapi nimekosea mpaka nina juta kuwa mtanzania.
Moderators mme toa tangazo langu la kupangisha nyumba Kule kwenye jukwa la biashara jamani mnataka niwe mwizi?
Au kwaszbabu mmejua kuwa sina kadi ya ccm?