bongo man
JF-Expert Member
- Dec 26, 2016
- 1,053
- 2,329
Wewe utakuwa umerukwa na akili WeweAnnual increment kama serikali haina pesa italipa takataka au
Kaa na ujifunze mambo ya uchumi wa nchi
Kazi ya serikali sio kuongeza mishahara ya watumishi bali ni kuweka mazingira rafiki kwa kila mtanzania awe mfanyakazi,mkulima,mfanyabiashara
Mbona wakulima hawalalamiki bei ya mbaazi kushuka
Wafanyakazi wa serikali hawafiki laki tano kwenye taifa la watu milioni 35
Sheria inaweza kuwepo lakini utalipa pesa wakati watu wanahitaji barabara na umeme
Sheria ni alama tu sio lazima kila sheria ifuatwe ,Kila sheria ikifuatwa hata uhuru wa kuandika hapa ungekosa