Unatumia njia gani kuyakwepa?Mambo'ayo ndomimi siyataki sasa!
ngono inazeesha?Dr dre Ana 60s na yupo vzr kikubwa ujitunze na kupunguza ngono
Wengine hawataki kuachia madaraka, wakiogopa changamoto za uzeeJiandalie Uzee wako mapema,
Uzee sio dharula, ni mchakato mrefu,
Sio unazeeka unaanza kulaani ovyo ovyo
Uwekezaji wa vyanzo vya mapato visivyohamishika.KUjiandaa katika mazingira yapi, kutunza magunia ya nafaka au?
Nini kifanyike mkuu ili kuokoa jahazi?Hyo ndo disadvantages mojawapo ya kung'ang'ana na ajira za serikali hutaki kusikia mambo ya kujiajiri......ukisha stafu unakuwa nyumbn huna chakufanya kama kuku....uku mkeo anakuona kama mbwa hivi atakuzuka kwasabbu ya hyo pension tu
Inafikirisha sanaUtasikia baba alikua mlevi tu anarudi saa nne kalewa na kuondoka saa 11, mama ndio alitupenda na kutujali
Kusomesha ni uwekezaji au huduma?Ukiwasomesha za gharama nafuu ndio hawatakuacha??!! Kama furaha yako katika maisha ina mtegemea mtu baki basi inawezekana ukawa disappointed na maisha mara nyingi sana
Mbegu ushapanda,mmea ushachipua na matunda yashakomaa kama chini uvune ulichopata mkuu....Nini kifanyike mkuu ili kuokoa jahazi?
Kwa nini ufike uzeeni wakati uwezekano wa kutokufika uko mikononi mwako!?Nimekuja kugundua, kuhangaika kwangu kote katika kusomesha vijana wangu shule za gharama kubwa, kumbe najitengenezea bomu la maisha ya upweke na yasiyo kuwa na matumaini uko uzeeni.
Vijana watakuwa na maisha yao, na hawatakuwa tayari kuwa karibu na mimi (baba), zaidi ya kumpenda mama yao zaidi.
Mama atakuwa amenipiga bao, kwa kunufaika na watoto huku mimi nikiwa nateseka kama simba dume aliezeeka na kutelekezwa porini na uzao wake.
Maisha ya uzeeni yanafikirisha sana, ngoja nijipikie chakula changu.
View attachment 3400407
Pole sana Mzee wetu.Nimekuja kugundua, kuhangaika kwangu kote katika kusomesha vijana wangu shule za gharama kubwa, kumbe najitengenezea bomu la maisha ya upweke na yasiyo kuwa na matumaini uko uzeeni.
Vijana watakuwa na maisha yao, na hawatakuwa tayari kuwa karibu na mimi (baba), zaidi ya kumpenda mama yao zaidi.
Mama atakuwa amenipiga bao, kwa kunufaika na watoto huku mimi nikiwa nateseka kama simba dume aliezeeka na kutelekezwa porini na uzao wake.
Maisha ya uzeeni yanafikirisha sana, ngoja nijipikie chakula changu.
View attachment 3400407
Kwa hiyo si lazima kuwekeza kikubwa?hukupigia ndiyo hukufunzao, somesha watoto huo ni wajibu wako na wala si uwekezaji kwa kesho yako.
Hii itategemea na namna ulivyojiwekeza kwako kuliko waoKama umejipanga vizuri haina shida kabisa
Watoto nao watafanya Yao maana hata mimi nilikuwa na wazazi na nikawa na maisha yangu
Nao pia walikuwa na wazazi ni cycle of life wala isikupe homa
Ntajipikia Nikitaka ila hela ipo ya kuajiri hata 10 kwa maisha haya
Miaka 60 huna kitu ni mtihani ila kama zipo mbona watakuja wenyewe kuniomba msaada
Baba nitakuwa baba tu wa kuwasaidia wanangu hata wawe na umri gani
Mwanangu akitaka 10m lazima nimpe
Wewe unapenda kuwahi mbinguni?Kwa nini ufike uzeeni wakati uwezekano wa kutokufika uko mikononi mwako!?
Haya ni maneno ya kujifariji, ni sawa na wale waliopigana vita vya majimaji wakiamini ukisema maji risasi zinageuka kuwa maji.Pole sana Mzee wetu.
Ulisahau kumkumbuka Muumba wako siku za ujana wako, kabla hazijaja siku zilizo mbaya...(Mhu 12:1).
Lakini usijali baba yangu. Mwisho wa mambo yote umekaribia. Hakikisha umetubu dhambi na kumwamini Yesu. Karibu atakuja kutuchukua na kutupeleka mbinguni. Huko hakuna upweke wala adha ya kujipikia ugali.
![]()
Msifadhaike jamani, yote haya karibu yatakwisha
Watu wengi wamejaa fadhaa kutokana na mambo mbalimbali yanayoendelea huku na kule duniani: vita, magonjwa ya kutisha, ukosefu wa ajira, njaa, uhalifu, matetemeko, gharama kubwa za maisha, nk. Rafiki, usifadhaike. Hayo yote karibu yatakwisha. Biblia inatuhakikishia kuwa hayo si maisha ya milele...www.jamiiforums.com
Yana ubatili mkubwa sanaMaisha ya hapa dunin ni batili