Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,147
- 55,635
Nimekuja kugundua, kuhangaika kwangu kote katika kusomesha vijana wangu shule za gharama kubwa, kumbe najitengenezea bomu la maisha ya upweke na yasiyo kuwa na matumaini uko uzeeni.
Vijana watakuwa na maisha yao, na hawatakuwa tayari kuwa karibu na mimi (baba), zaidi ya kumpenda mama yao zaidi.
Mama atakuwa amenipiga bao, kwa kunufaika na watoto huku mimi nikiwa nateseka kama simba dume aliezeeka na kutelekezwa porini na uzao wake.
Maisha ya uzeeni yanafikirisha sana, ngoja nijipikie chakula changu.
Karibuni wazee watarajiwa, kwa maoni na michango kwa mada husika, huku ukijiandaa kupambana na vita vyako mwenyewe vya uzeeni.
Kumbuka, usipojiandaa vizuri, kazi ya kuosha vyombo na kupeleka wajukuu shule utakabiziwa wewe.
Vijana watakuwa na maisha yao, na hawatakuwa tayari kuwa karibu na mimi (baba), zaidi ya kumpenda mama yao zaidi.
Mama atakuwa amenipiga bao, kwa kunufaika na watoto huku mimi nikiwa nateseka kama simba dume aliezeeka na kutelekezwa porini na uzao wake.
Maisha ya uzeeni yanafikirisha sana, ngoja nijipikie chakula changu.
Karibuni wazee watarajiwa, kwa maoni na michango kwa mada husika, huku ukijiandaa kupambana na vita vyako mwenyewe vya uzeeni.
Kumbuka, usipojiandaa vizuri, kazi ya kuosha vyombo na kupeleka wajukuu shule utakabiziwa wewe.