GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,262
astaghafillulihah.... hatari kubwa hii... sheikh ulitumia maneno makali sana... si mema kiafya... loooh....
Mimi wanachoniboa Waafrika ni kimoja utakuta kaishi Ulaya huko ana full heshima na anatii Sheria zote bila shurti akija Bogno tu kwan za kuanzia Airport ni ubishi na ujuaji, akisimamishwa na Askari wetu anakataa, akipewa faini anapinga, kila kitu mjuaji ili hali Ulaya habishi chochote, mimi nishaenda kumpokea ndugu yangu aiport nilitaka kumshusha mataa nikamwambi ***** rudi huko Ulaya, ...