Nakuchukia sana
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 489
- 938
Kipindi ninapokuwa enzi ya `90 maisha yalikuwa kwenye,msingi ya kiamadili.Na heshima ilidumu,matukio ya kikatili hayakuwepo tofauti na sai.Ila hii karne ya 21 imezidi,matukio kila kukicha.Moyo upendo haupo tena,chuki ndio imetawala.