Sipendi Uchawa
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,945
- 12,509
Nimesikitika sana mkuu.kama wa themanini wanaitwa vikongwe wa sabini wataitwaje? Hawa watoto wa sasa wanazeesha watu haraka sana. Kijana wa miaka 40 anaitwa mzee!
Nilijua mzee mwenye umri mdogo kabisa anaanzia 50+ ila sasa nashangazwa na huyu wa foti kuitwa kikongwe
Kwa nijuavyo mimi, kikongwe atakuwa na zaidi ya 80 kuendelea. Maana sio kila mzee ni kikongwe