hakuna kitu kama hicho
nafikiri wanandoa hao ambao wanaishia round moja na kulala hawana ubunifu kwenye kufanya mapenzi au kuna tatizo kati ya wanandoa
Kwenye ndoa unatakiwa kuwa mbunifu kila siku na kutofanya sex kuwa mazoea
yaani ubuni style mpya, sehem mpya za kufanyia tendo lenyewe, kuwa na hamu na mweza wako wa ndoa kila siku
Unatakiwa kuifanya ndoa yako as if jana yake ndo mmeoana na sio kuchokana na kufanya tendo kimazoea
Kuwa mbunifu na mfanye mwenzako awe na hamu na wewe kila siku