Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,044
- 5,114
kama una laki sita nyumba IPO mkolani INA kila kitu na ac zake mbili INA fence na CCTV camera
Viyoyozi vya nini Mwanza?
kama una laki sita nyumba IPO mkolani INA kila kitu na ac zake mbili INA fence na CCTV camera
kahtaan, ile nyumba ya baba yako almarhum Ilunga imepata wapangaji?
Viyoyozi vya nini Mwanza?
Wadau mimi ni mtumishi wa umma sasa nimehamishiwa jiji la Mwanza nina mke na mtoto na mfanyakazi. Ishu ni kwamba ni sehemu gani naweza kupata nyumba au appartiment kwa bei nzuri na gharama imekaaje kama napanga nyumba nzima.
Ina majini, ngoja tumwite atasema mwenyewe
Bill Cosby
Wakati upepo wa ziwani ni zaidi ya viyoyozi!!!Labda nyumba ingekuwa mabatini au bugarika hapo kweli ac muhimu....
Teh teh teh au akakae IGOGO.Kuna sehemu inaitwa MWARONI!
Ukifika hapo unapata harufu moja safi sana ya lake victoria na Bei ya vyumba vya walevi wa Gongo km wewe ni vingi tu!
Bangi pia ni nyingi tu mkuu! Hilo jina lako Baada ya mwezi tu litageuka na Kuwa (yesu wa blue!)
Karibu sana.
maka.lio yako kwa cc Wa mabatini hatuko mwanza
maka.lio yako kwa cc Wa mabatini hatuko mwanza
Nyumba ipo Nyerere road na Libert, pesa yako tu.
Teh teh teh! mabatini milimani watu wanajisaidia kwenye mawe au bugarika.Mabatini juu ya mawe wamejaa wagogo tu!
pale sio mwanza manake ukiporomoka toka kule juu utajikuta umetua Ukerewe!
Hatari sana.
Wakati ule wa mafuriko wagogo na wajaluo wengi walijikuta wako Ukerewe wanakula furu kwa fujo!
Teh teh teh teh!
Teh teh teh! mabatini milimani watu wanajisaidia kwenye mawe au bugarika.
Mabatini juu ya mawe wamejaa wagogo tu!
pale sio mwanza manake ukiporomoka toka kule juu utajikuta umetua Ukerewe!
Hatari sana.
Wakati ule wa mafuriko wagogo na wajaluo wengi walijikuta wako Ukerewe wanakula furu kwa fujo!
Teh teh teh teh!
maka.lio yako kwa cc Wa mabatini hatuko mwanza
Mbona mimi naishi Uswazi huku Mabatini na kuna hewa nzuuri?Inadhihirisha jinsi ulivyo wa mabatini maana ndio tabia zenu.Sasa pale nyumba zimebanana hata kupumua hamuwezi ndio kunafaa kuwe na ac sasa sujui unarojoka nini wakati ndio ukweli nyumba za huko hata upepo kuingia ndani ni shida kwa mbanano
Teh teh teh! mabatini milimani watu wanajisaidia kwenye mawe au bugarika.
Mbona mimi naishi Uswazi huku Mabatini na kuna hewa nzuuri?
Unaizungumzia mabatini ipi?
Tena niko uswazi kabisa huku mashineni!
Mbona mimi naishi Uswazi huku Mabatini na kuna hewa nzuuri?
Unaizungumzia mabatini ipi?
Tena niko uswazi kabisa huku mashineni!