Innay
JF-Expert Member
- Aug 22, 2014
- 297
- 291
Binadamu anapokuwa hana wa kumtegemea pale anapokata tamaa humrejea Mungu wake na kumuomba aokoe jahazi.
Tunaishi ka gidigidi.
Tuliahidiwa ahadi hewa, muda unayoyoma, hewa tupu.
Hali ni mbaya. Na hakuna matumaini. Rais Magufuli kuwa na moyo wa utu.
Hebu tizameni wenyewe hii. Ninaona aibu hata kujivunia. Miaka mingi kazini.
Mungu atusaidie tu. Tizameni makato.
Vyama vya wafanyakazi viko wapi.
Tunaishi ka gidigidi.
Tuliahidiwa ahadi hewa, muda unayoyoma, hewa tupu.
Hali ni mbaya. Na hakuna matumaini. Rais Magufuli kuwa na moyo wa utu.
Hebu tizameni wenyewe hii. Ninaona aibu hata kujivunia. Miaka mingi kazini.
Mungu atusaidie tu. Tizameni makato.
Vyama vya wafanyakazi viko wapi.