Mashule yalifungwa, walimu na wanafunzi wako majumbani mwao, wapo walioweza kuendelea kusoma kwa online na wapo ambao wamesuasua mpaka sasa.Key workers wanakwenda kazini kama kawaida na walimu inabidi waendelee kuwaangalia watoto wa key wokers.
Hakuna cha mtoto wa key worker, kila mtoto yuko nyumbani kwao, Daycare pia zimefungwa, kila mtu akae na watoto wake nyumbani.
Niliangalia website ya CNN, wakisema kufanya hivyo kumepunguza rate ya maambukizi miongoni mwao. Lakini wengi wanalalamika kukaa nyumbani bila kuambiwa ni kwa muda gani. na wengine wanaomba hospiutali ziwe na day care kwa ajili ya staff wenye watoto wadogo, lakini imeshindikana. Hakuna anayeweza ku ensure safety ya watoto hasa wakati huu, hivyo ikaamuliwa staff mwenye watoto wadogo anaweza kukaa nyumbani na atalipwa.
