uswaziland
New Member
- Aug 1, 2020
- 1
- 0
Mimi ni Mtanzania na niko middle income Hiki ndo chumba changu. Ni heri kuliko Kibera
Jitahidi kutatafuta mifuko mitatu ya cement, maji na mchanga tuma vijana wakakutafutie utawapoza hela kidogo tu, kama uliweza au mwenye nyumba aliweza kupandisha tofali zote hizo kupiga ripu kuna mshindaje?Mimi ni mtanzania na niko middle income Hiki ndo chumba changu. Ni heri kuliko kiberaView attachment 1523946
Hata USA kuna slums, kama hufanyi kazi ni mvivu mvivu hivi Raisi alishasema ufe tu!Mimi ni mtanzania na niko middle income Hiki ndo chumba changu. Ni heri kuliko kiberaView attachment 1523946
Wewe pambana na maisha yako ya choo mla kinyesi🤮Unajua maisha ya Wakenya wewe!
Acha tu Kama ulisha yaona makazi ya Nguruwe ndio Maskani kwa Mkenya
Hii ndio maisha ya middle income Tz🤮🤮. This qualifies to a slum dweller in Kenya.So a middle income in Tz is equivalent to a person in Kibera.Mimi ni mtanzania na niko middle income Hiki ndo chumba changu. Ni heri kuliko kiberaView attachment 1523946
Hii ndio maisha ya middle income Tz🤮🤮. This qualifies to a slum dweller in Kenya. So a middle income in Tz is equivalent to a person in KiberaMimi ni mtanzania na niko middle income Hiki ndo chumba changu. Ni heri kuliko kiberaView attachment 1523946
Wewe nyumba yako iko wapi? Una mdomo kubwa kumbe unaishi kwenye banda la mbuzi.Jitahidi kutatafuta mifuko mitatu ya cement, maji na mchanga tuma vijana wakakutafutie utawapoza hela kidogo tu, kama uliweza au mwenye nyumba aliweza kupandisha tofali zote hizo kupiga ripu kuna mshindaje?
Mpaka mlango wa nondo unao! Kuwa na wanawake wengi wa kuhonga, kununua pombe mnaweza ila kuboresha maisha yenu ni mgogoro! Kuna kaugonjwa fulani wabongo wanacho kutopenda vitu vizuri, au kupenda vitu vizuri na kujibweteka kufikiri vitakuja tu vyenyewe.
Kingine ni uchafu, pamoja na nyumba yako kuonekana haijaisha ila wewe pia ni mchafu. Umepanga panga vitu vyako hovyo hovyo kule nyuma, hufagiii, kitu ambacho ungeweza kurekebisha bila gharama yoyote ile! Ukijipanga kidogo na kopo moja mbili za rangi mbona hapo tunapasahau.acha uvivu na kulalamika lalamika utafanikiwa.
hehe.Mimi ni mtanzania na niko middle income Hiki ndo chumba changu. Ni heri kuliko kiberaView attachment 1523946
Kibera manMimi ni mtanzania na niko middle income Hiki ndo chumba changu. Ni heri kuliko kiberaView attachment 1523946
Niko kwenye nchi ya asali na maziwa bro juhudi kidogo tu unakula mema ya nchi.Hakika sijutii kuzaliwa Mtanzania!!!!!Nakula vizuri na nalala pazuri pia. Alhamdulillah!.Wewe nyumba yako iko wapi? Una mdomo kubwa kumbe unaishi kwenye banda la mbuzi.
the biggest slum in Africa dahKibera manView attachment 1524573
Katika huu uzi kuna wazawa uko Kiberathe biggest slum in Africa dah
Katika huu uzi kuna wazawa uko Kibera