Maisha ya mchomoko Afrika Kusini

Maisha ya mchomoko Afrika Kusini

Sasa maisha kama haya yanatofauti gani na Tanzania YANI UTOKE MBALI UJE UISHI GHETO MAISHA YA KIMCHOMOKO haa we vipi kujipanga ni muhimu mtoto wa kiume usiondoke kama wale Madogo kafanya msala nyumbani anatoroka kindezi
FB_IMG_1683195521247.jpg


Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
 
Kwan hakuna kazi halali hata za chini tu mfano kuwa mhudumu wa mgahawa, kuwa mpishi, kuwa mfanya usafi wa kampuni ya usafi, etc zile kazi za kulipwa ujira wa siku au kazi za kuanza na minimum salary?

Why watu wasianzie hapo chini huku wakijitafuta kwenda juu?

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
vijana wanaona wanachelewa.
 
Back
Top Bottom