bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,345
- 25,301
Bora aende rufiji akalime Mihogo sauzi mwambie atakula visu vya wazuluHana kila kitu.
Bora aende rufiji akalime Mihogo sauzi mwambie atakula visu vya wazuluHana kila kitu.
ndio mkuu...tembea uone...wenyewe walikuwa wanatuita freshi...hawa freshi hawa!
Wauza unga wako kila mahali dunianiJoburg CBD wamejaa wauza unga
Mwizi anaeleweka akindika story, yeye anawaza kuandika haraka haraka ili akimbie kuuliwa au akaibe sehemu asepe.Hariri story yako basi hata paragraph zieleweke .
Hata hapa Simba na Yanga tuSouth kaa mbali kabisa na mbongo hata ukisikia wanazungumza kiswahili uchune kabisa Bora ujichanganye na mataifa mengine.
Watz nje ya nchi hatubebani Kama mataifa mengine sababu ya ukosefu wa uaminifu.
Unampokea mtupu anasomba Kila kitu ndani.
Nakubali mkuu.Kuna dogo huku naishi nae kitaa kimoja, kila uchwao story zake ni kuwa anataka kwenda kwa madiba na hana mtaji wala ramani, nimeshamshauri sana but sikio la kufa halisikii dawa,, nitampa asome huu uzi huenda maamuzi yake yakabadilika.
Ni tamaa tu, hizo kazi za chini kokote kwenye miji mikubwa zipo.sema watu wanataka watoboe fasta ili waje waoshee huku nyumbaniKwan hakuna kazi halali hata za chini tu mfano kuwa mhudumu wa mgahawa, kuwa mpishi, kuwa mfanya usafi wa kampuni ya usafi, etc zile kazi za kulipwa ujira wa siku au kazi za kuanza na minimum salary?
Why watu wasianzie hapo chini huku wakijitafuta kwenda juu?
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Mkuu acha matusi , umu ndani tumo watu wazima tumeelewa umemtusi jamaa kuwa yeye ni mwizi sijui amekukosea nini dahMwizi anaeleweka akindika story, yeye anawaza kuandika haraka haraka ili akimbie kuuliwa au akaibe sehemu asepe.

Mimi kuna siku nawaza tu niuze kila kitu niende nchi yeyote angalau nipate experience tofauti ya maisha.Pamoja na yote yanayoendelea Tanzania,sijawah kuwaza kuzamia ughaibuni kiharamia...kama ni mafanikio ntapambana papa hapa!
sasa ukiuza vitu ndo uende,vp kama ukachemsha huko uendako,yaan urud na kuanza moja kwel?mim huwa naona Tanzania ni fair ground kwa watu weng kutoboa kwa kuwa bado mamlaka zetu na taasis zimezubaa!Mimi kuna siku nawaza tu niuze kila kitu niende nchi yeyote angalau nipate experience tofauti ya maisha.
Poa poa mkuu ntafanya hivyo...Mcheki jamaa ana kipindi Chake kinaitwa kutoka Ughaibuni atakupa muongozo
Jo'burg ni poa sana wacha tucheki radaniliwahi kufika Jo’burg miaka kadhaa nyuma uko poa sana. ila miji kama Pretoria na cape town ni ghali sana kuishi.
niko tyr kukosolewa.
Sikumbuki channel ila ingia YouTube andika kutoka UghaibuniPoa poa mkuu ntafanya hivyo...
Kipindi kinaonyeshwa Chanel gani mkuu?
Nakubali mkuusasa ukiuza vitu ndo uende,vp kama ukachemsha huko uendako,yaan urud na kuanza moja kwel?mim huwa naona Tanzania ni fair ground kwa watu weng kutoboa kwa kuwa bado mamlaka zetu na taasis zimezubaa!
