Maisha ya mapenzi na ndoa

Maisha ya mapenzi na ndoa

welding1682

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2019
Posts
2,229
Reaction score
4,834
Kuna mengi katika maisha ya mapenzi ila zingatia haya kwa ajilii ya furaha yako,
MUAMINI- katika kuaminiana kunatunza mengi ikiwa ni pamoja na mazuri na mabaya ila mnapo aminiana katika maisha ya mapenzi furaha utawala,
UHURU- mpe uhuru mwenzako na vitu vyake kila mmoja anapokuwa huru katika Mambo yake basi amani hutawala na hamuwezi kugombana kwa mambo madogo madogo Kama simu nk.

Kumbuka
Iwe baba au mama
Iwe dada au kaka
Iwe kijana au binti
Tafuta hela sana kwa bidii mapenzi yatakufata,
Usitafute mapenzi sana hela haitakufata.
 
Niliempata miezi miwili iliopita ana wivu au sjui ni utoto +upumbavu, mda wote anataka eti nimpe maneno mazuri, anasema naongea kama mshkj wake, kunifkiria mda wote niko na mwanamke, anasema namtolea ukali wakati mm najihisi naongea nae kawaida tu, kero imekua kubwa kila wakati ni sim tu akinikuta kwenye social media yyte ananiombia niko online nachati na wanawake wakati mm mara nyingi naangalia habari, nahisi time yake ya red card imefika asinizingue
 
Niliempata miezi miwili iliopita ana wivu au sjui ni utoto +upumbavu, mda wote anataka eti nimpe maneno mazuri, anasema naongea kama mshkj wake, kunifkiria mda wote niko na mwanamke, anasema namtolea ukali wakati mm najihisi naongea nae kawaida tu, kero imekua kubwa kila wakati ni sim tu akinikuta kwenye social media yyte ananiombia niko online nachati na wanawake wakati mm mara nyingi naangalia habari, nahisi time yake ya red card imefika asinizingue

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
Jaribu kumuelewesha atakuelewa kwani uhuru wa mtu ni muhimu sana katika mausiano na anapaswa kuelewa una ndugu, jamaa na marafiki kikubwa nawe ufanye hivyo kwake ili uaminifu utawale!
 
Back
Top Bottom