Maisha ya Mahabusu na Gerezani

Maisha ya Mahabusu na Gerezani

kimlas

Member
Joined
Oct 7, 2017
Posts
95
Reaction score
106
Ndugu hebu tuelimishane, hvi maisha ya mahabusu na gerezani yanakuwaje hasa? Tupeani elimu ili itusaidie kuelminisha watoto waetu wasifanye makosa
 
Ndugu hebu tuelimishane, hvi maisha ya mahabusu na gerezani yanakuwaje hasa? Tupeani elimu ili itusaidie kuelminisha watoto waetu wasifanye makosa

Kwanini hukuuliza maisha ya Mahalia pengine badala yake unaulizia Jela umeyakanyaga nini...
 
ni kuzimu kabla ya kwenda mbinguni ...unakua huna tofauti na mbwa ...(baadhi ya mbwa wanakuzidi) maisha ya kiza ...unakufa moyo na roho
 
Maswali mengine yanafurahisha!
In short tu vunja sheria,au Nenda n'a kete za bangi karibu n'a kituo cha polisi Chochote karibu nacho uone...hapo utapata Viza ya kupelekwa mahakamani then Jela huko utajifunza zaidi

Ova
 
Ndugu hebu tuelimishane, hvi maisha ya mahabusu na gerezani yanakuwaje hasa? Tupeani elimu ili itusaidie kuelminisha watoto waetu wasifanye makosa
Hayafai kusimuliwa mkuu chunga sana usije kutumbukizwa
 
Ndugu hebu tuelimishane, hvi maisha ya mahabusu na gerezani yanakuwaje hasa? Tupeani elimu ili itusaidie kuelminisha watoto waetu wasifanye makosa
Kanunuwe CD ya Fm Academia inaitwa Prison, utapata dibaji ya jela ikoje.
 
Nenda kituo cha police cha karibu utapata mrejesho wa mahabusu.
 
Nadhani majibu mtoayo si kusudi la swali alie uliza, tuji funze kitu watanzania kama kitu hujui basi kaa kimya tuu sio lazima kujibu, kuna topic mbali mbali mtu ana uliza kuhusu maisha ya mkoa fulan au nchi fulani mbona watu wana jibu na wengine kufaidika.

Lkn kitendo cha mtu kuuliza maisha ya nyuma ya ndono yapoje alafu una mjibu eti fanya kosa uende si sahihi!?

Kule ni sehemu ya kurekebisha tabia kama hauja pita huko au ku exprience chochote pita tuu wala huto ulizwa!

kuna watu wame pitia hayo mambo na hawataki wengine wapitie.
 
Kuna tapeli gwiji jenzake na Jerry Muro linaitwa Deo Mgassa hilo ni taalamu la kwenda hela at least kila mwaka! Likitoka tutaliuliza litupe uzoefu maana juzi limekula nyundo 5 kwa utapeli
 
Mahabusu ni kama kuishi five star hotel, kuna wapishi wanawapikia nyinyi mnakaa tu.

Gerezani ndiyo kuna kazi, lakini mnapikiwa.
Mahabusu waliopo gerezani wanachopikiwa cha zaidi ni uji wa dona asubui ,, na mchana saa saba ugali na maharage mabovu,siku za week end ndio mnakula wali na maharage ,,,
Ila kama ndugu zako wanajiweza utaletewa Chakula cha kutoka nyumbani, na mkila chakula cha mchana iyo saa Saba, hamli tena hadi kesho yake,, na ikifika saa kumi kasoro kulala,

NA kwa upande wa wafungwa huwa wanakula chakula cha jela hairuhusiwi ndugu kuwapelekea Chakula,,,,,,Mfano Lulu sasaivi anakula ugali maharage wa jela na wali maharage.

NA jela kipindi cha joto kama hiki, ,utawaonea huruma aisee,, kila mtu amekata kipande cha plastiki anajipepea joto, ,, kwa kifupi jela ni kaburi ya mtu mzima,,,yaani ni sawa umezikwa ukiwa hai, ,, aswa kwa jela zetu za nchi hizi za kiafrica
 
Back
Top Bottom