Eliezar Mlwafu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2013
- 449
- 140
Vifo vya kushitukiza duniani vimeenea,Leo alikuwa mzima kesho tuaambiwa kafa.Ukimuona kwenye jeneza utadhani ataamka, Mtu na afya yake kaburini anakwenda,Jiulize ndugu yangu ukifa leo utakuwa mgeni wa nani ??
Vifo vya kushitukiza duniani vimeenea,Leo alikuwa mzima kesho tuaambiwa kafa.Ukimuona kwenye jeneza utadhani ataamka, Mtu na afya yake kaburini anakwenda,Jiulize ndugu yangu ukifa leo utakuwa mgeni wa nani ??