Maisha ya Jela Tanzania

Maisha ya Jela Tanzania

Chigurh

Member
Joined
Apr 2, 2025
Posts
23
Reaction score
86
Habari zenu

Mara nyingi hua nasikiliza story mbalimbali za maisha ya jela nchi tofauti tofauti. Ubakaji wanaume kwa wanaume, madawa ya kulevya, ukatili, nk

ila hua siskii sana story za maisha ya Jela Tanzania. Story halisi za watu walio-onja maisha ya jela kwa muda mfupi au miaka.

Iwapo una experience hii, tupe story yako. Ulioyaona, yaliokushtua, yanayaoendelea, yasiyojulikana, etc.

Au pia hata kama unamfahamu mtu wa karibu aliekupa story ya maisha katika sehemu hizi.
 
Kuna jamaa aliwahi kuja humu na hii story sema kina baadhi ya Part au ule uzi kama waliufuta kabisa watu walichangia sana mule
 
Jela siyo sehemu mbaya kama watu wanavyodhani. Shida pekee ni pale unapokosa uhuru wa kuonana na ndugu, jamaa, na marafiki.

Pia, kama unapenda sana papuchi utateseka lakini mwisho wa siku punyeto utaizoea na utaishukilia na kuiabudu hata baada ya kutoka jela.
 
Habari zenu

Mara nyingi hua nasikiliza story mbalimbali za maisha ya jela nchi tofauti tofauti. Ubakaji wanaume kwa wanaume, madawa ya kulevya, ukatili, nk

ila hua siskii sana story za maisha ya Jela Tanzania. Story halisi za watu walio-onja maisha ya jela kwa muda mfupi au miaka.

Iwapo una experience hii, tupe story yako. Ulioyaona, yaliokushtua, yanayaoendelea, yasiyojulikana, etc.

Au pia hata kama unamfahamu mtu wa karibu aliekupa story ya maisha katika sehemu hizi.
Hiyo mambo ya ubakaji na ukatili siamini sana. Labda magereza za zamani.

Sahivi utende kosa gerezani wale askari magereza si watakupiga wakuue
 
Mkimaliza hapo tupate na story moja ya jela za ICC na maswaibu yake

Kama kwenye magrupu yenu ya wasap walikwambia huko wanaponda kokoto na kuvuna mpunga wamekudanganya

1769820006007.png

1769820037760.png

1769820083253.png
 
Kuna uzi humu umeeleza masahibu ya jela kwa kina.
 
Back
Top Bottom