Maisha ya chuo yamenishinda, sina pesa

Maisha ya chuo yamenishinda, sina pesa

wakware humu mnauliza jinsia ili iweje,mfanye barter Trade. Amesema yupo Tengeru na course ni Certificate,anaomba msaada kama unayo laptop/pc imezagaa zagaa mtumie Tu.
Ukisaidia bila matarajio unajifungulia milango ya baraka ktk maisha yako
 
...Du!...we ni kichefeche,ila mjinga!
...na obviously utakuwa libaya na lichafu!
 
Chuo ninachoishi kila kitu ni kujitegemea sina pesa nimebakiwa na elfu kumi natakiwa niwe na PC na Smartphone.

Home kwetu masikini.

we umekula boom na wanawake unaleta malalamishi si tufanyeje unataka PC ya nini kaz mikumbo tu na smartphone ya nini Kama sio upuuzi soma ivoivo ninyi ndo maguful anawatafta mnaotaka maisha ya raha vyuoni
 
Sidhani kama kuna sabab ya kumtusi humu ndani kama huwezi kumsaidia ci vzur kumtukana kama una pc au smatphn msaidieni
 
Hayo ndo maisha nayopitia humu chuo napitia kipindi kigumu sana
 
Unaabisha taaluma na elimu uliyo nayo hadi sasa hiv.

If its seriously kweli andika na jieleze kwa mapana watu wakusaidie, tumia elimu yako ya communiacation skill kujipambanua, na kueleza watu

Huenda ni kweli unashida but ulivyoileta mada watu wanachukulia utani, na utakosa msaada, au ushauri muhimu

huyu jamaa labda anasoma certificate make nako n chuo
 
Oooh! Mungu wangu, anyway pole kwa kua haujaikubali hali ya maisha ya kwenu ndo maana uko hapa unalalamika, mimi nilipata mkopo lakini jina lilienda chuo tofauti na nilichopangiwa na TCU na hata wakati mwingine mambo ni magumu hadi nakosa pesa ya kutoa hard copy, lakini najipa moyo japo ni vigumu kwa kozi yangu bila PC wala smartphone but naamini watu wote hawawezi kulingana kifedha... hivyo jikubali kama ulivyo na hali uliyonayo then komaa hivyo ipo siku utatoka.

huyo n certfcate achaguliw na tcu😀😀😀😀😀
 
Wengi humu tumepitia maisha hayo tukiwa chuo, kwanza sio kwamba bila laptop au Smart phone hauta graduate. Washkaji kibao wamemaliza chuo bila hayo mazaga so cha msingi usiji linganishe na mtu yoyote yule ishi kama wewe, njaa haiui ila itakuumiza kwa muda tu. Komaa maisha sio lelemama

👏👏👏👏👏👏 safi saaaaana

written destiny need someone to guarantee it's existence and accomplishment.
 
Yaan nashndwa had kuelezea vzur wakuu kutokana na sehemu yang ya kuandka text kuwa na limit ya maneno 120 tu wapendwa
 
Cc certificate ya community development hatupewi mkopo jaman wa degree ndo wanapewa
 
Yeye anaishi chuo ila hasomi, na kama anasoma basi ni vile vyuo vya kujionyesha, watu wamesoma mpaka wanamaliza hakuba cha laptop wala smartphone na wamepiga GPA za hatar sasa wewe ushindwe kwa kukosa hivyo vidubwasha.

Kiuhalisia hiyo ilikuwa zamani but kwa sasa hivi vitu vinasaidia sana na usipo kuwa navyo kuna ka ugumu flani.

Hizi ni zama za sayansi na teknolojia sio zama zenu za "ikarusi kumbakumba"
 
Kiuhalisia hiyo ilikuwa zamani but kwa sasa hivi vitu vinasaidia sana na usipo kuwa navyo kuna ka ugumu flani.

Hizi ni zama za sayansi na teknolojia sio zama zenu za "ikarusi kumbakumba"

Na kiuhalisia ni kwamba mtoa mada hana pesa ya kununua hivo vifaa sijui una mshaurije?
 
👏👏👏👏👏👏 safi saaaaana

written destiny need someone to guarantee it's existence and accomplishment.

Nimependa hio quation yako mkuu, be blessed
 
Kuna mshikaj tulisoma naye miaka hio pale ifm nakumbuka maisha yake yalikua magumu sana mpk hata sabuni ya kuogea kwake ilikuwa ni shida, alikua anasubiri wengine wakimaliza kuoga anachukua vile vipande vipande vya sabuni wenzake walivyobakiza ndo na yeye anaviogea, sasa hivi anafanya kazi UNHCR ni mtu mkubwa upande wa finance na anamalizia PhD yake soon. Hua napiga nae story kuhusu maisha aliyopitia tunabaki kucheka tu. So vumilia yatapita tu haya magumu na utasahau
 
Back
Top Bottom