AdanaVural
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 628
- 354
Yeye anaishi chuo ila hasomi, na kama anasoma basi ni vile vyuo vya kujionyesha, watu wamesoma mpaka wanamaliza hakuba cha laptop wala smartphone na wamepiga GPA za hatar sasa wewe ushindwe kwa kukosa hivyo vidubwasha.