Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Wakati niko chuo nilikuwa nawaza tu kwamba punde nikimaliza tu naenda kushika hela kitaani. Tena nilikuwa naulizia na mshahara kabisa na kuupangia bajeti kabla ata sijamaliza.
Starehe nyingi za chuo asa kuwa na watoto wakali ilifanya nisahau kama kuna shida maisha baada ya chuo.
Wasichana kila sehemu ukigusa tu imo unajichukulia mtoto mkali sana sana boom likitoka we unajivutia tu kiroho safi.
Kiukweli maisha ya chuo matamu sana ukiondoa sup na vitest vya kudundisha moyo ila baada ya hapo kuja kitaa nikajua kwamba maisha siyo ndoto ukiota basi unapatia ila ni msoto mkali.
Yale mawazo ya chuo yanabaki kuwa mawazo tu lakini hayana ukweli ndani yake. Alafu ukimaliza chuo ata kama haujatusua ndugu wanajua na wana kufanya tegemeo lao. Kiukweli maisha baada ya chuo yanaitaji akili nyingi zaidi ya mitihani au sup za chuo.
Vipi kwako maisha ya chuo na baada ya apo yapoje.
Starehe nyingi za chuo asa kuwa na watoto wakali ilifanya nisahau kama kuna shida maisha baada ya chuo.
Wasichana kila sehemu ukigusa tu imo unajichukulia mtoto mkali sana sana boom likitoka we unajivutia tu kiroho safi.
Kiukweli maisha ya chuo matamu sana ukiondoa sup na vitest vya kudundisha moyo ila baada ya hapo kuja kitaa nikajua kwamba maisha siyo ndoto ukiota basi unapatia ila ni msoto mkali.
Yale mawazo ya chuo yanabaki kuwa mawazo tu lakini hayana ukweli ndani yake. Alafu ukimaliza chuo ata kama haujatusua ndugu wanajua na wana kufanya tegemeo lao. Kiukweli maisha baada ya chuo yanaitaji akili nyingi zaidi ya mitihani au sup za chuo.
Vipi kwako maisha ya chuo na baada ya apo yapoje.