kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,819
Wakuu wazima,
Maisha yanatembea kwa spidi sana, enzi hizo boarding schools zilikuwa ni sehemu ya mafunzo ya maisha mtaani, yaani ukipiga miaka minne boarding basi tayari una cheti cha kupambana popote dunian na kukabili maisha yoyote, ilikuwa si mchezo, jinsi ya kupata msosi ni noma, ukienda kwenye kulala nako si mchezo, walimu sasa wa shule za boarding enzi hizo walikuwa wanajua kulea na kunyoosha hasa, hata uwe mtukutu vipi ukipelekwa boarding unanyooka, wazazi wenye watoto watukutu boarding ndo ilikuwa tegemeo Lao.
Nakumbuka form one enzi zile ilibaki kidogo tu nikusanye virago nirudi home maana ni km Guantanamo hivi shuruba zake, kila kitu tabu tupu yaani..
Tukumbushane visa ulivyofanyiwa au kuwafanyia wenzako enzi ukiwa boarding .
Twende pamoja tukikumbushana lile life la jeshi ukiwa boarding.
Maisha yanatembea kwa spidi sana, enzi hizo boarding schools zilikuwa ni sehemu ya mafunzo ya maisha mtaani, yaani ukipiga miaka minne boarding basi tayari una cheti cha kupambana popote dunian na kukabili maisha yoyote, ilikuwa si mchezo, jinsi ya kupata msosi ni noma, ukienda kwenye kulala nako si mchezo, walimu sasa wa shule za boarding enzi hizo walikuwa wanajua kulea na kunyoosha hasa, hata uwe mtukutu vipi ukipelekwa boarding unanyooka, wazazi wenye watoto watukutu boarding ndo ilikuwa tegemeo Lao.
Nakumbuka form one enzi zile ilibaki kidogo tu nikusanye virago nirudi home maana ni km Guantanamo hivi shuruba zake, kila kitu tabu tupu yaani..
Tukumbushane visa ulivyofanyiwa au kuwafanyia wenzako enzi ukiwa boarding .
Twende pamoja tukikumbushana lile life la jeshi ukiwa boarding.