Maisha unayoishi ni ndoto.

Maisha unayoishi ni ndoto.

1gb

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2013
Posts
2,364
Reaction score
3,199
Hivi ingekuwaje maisha unayoishi sasa ukakuta ni ndoto.Ile unashtuka unajikuta upo darasani,tena darasa la pili mwalimu anafundisha somo la mwandko na ww kwa aibu na uchovu umejiinamia unaangalia daftali lako la mistari midogo na mikubwa.
 
Hivi ingekuwaje maisha unayoishi sasa ukakuta ni ndoto.Ile unashtuka unajikuta upo darasani,tena darasa la pili mwalimu anafundisha somo la mwandko na ww kwa aibu na uchovu umejiinamia unaangalia daftali lako la mistari midogo na mikubwa.

kaka acha tu!! Mi nshaota naokota mahela meeengi,ile naamka duh kumbe ndoto nilikasirikaje?
 
kaka acha tu!! Mi nshaota naokota mahela meeengi,ile naamka duh kumbe ndoto nilikasirikaje?

Kuna waliowahi kuota wako kwenye ndege wanenda ulaya na tayari ndege imeesha kutua, mara ghafla akkamshwa na jamaa yake, basi aliposhituka tu akkanzisha ugomvi akimlaumu yule alimwaamsha eti mi nilikuoa nishaaga maisha magumu ya bongo we unakuja kunishitua!
 
Back
Top Bottom