Maisha na single daddy

Maisha na single daddy

Huwa nafikiria a single dad is a very loving man. Ile type ya wanaume wenye mapenzi matamu sana sana addictive.

On one condition. You value his kids as if they were your own.

Na hapo ndo penye mtihani. Because you may give your all to the kids and it never seems like you made any effort.
 
Punguza wivu kidogo basi,hahahaaa. Ukweli ni chqngamoto sana ila dawa kubwa ni kuwapenda hao watoto na kudharau changamoto unazozipata kutoka kwa mama wa watoto pengine na yeye anatamani kurudi hapo hivyo anataka kukuharibia.
Ni wanawake wachache sana wanaopenda watoto wa mwanamke mwingine. katika wanawake 200 usipate hata moja.
 
Mkuu ukishafika 35+ kama uko single, nafasi ya kukutana na aliye acha mke au kufiwa na kuachwa na watoto ni kubwa. Ninajiandaa.
hili huwa nawaambia watu kila nyakati napozungumza nao...UMESEMA KWELI MKUU
maana wakati wew unakuwa basi naile generation yako yote pia inakuwa imekuwa either wengine wameshafariki
so unapohitaji kuwa katka mahusiano kuna uwwzekano mkubwa wakujikuta waangukia kwa mke wamtu /Mume wamtu ..single mother /single father..mjane ama mgumba
kwa maana katka makamu hayo watu wengi warika lako wanakuwa wameshapitia karibia zile hatua zote muhimu ambazo huwa zinapaswa kuwa mapito ya binaadamu ..kupata ambaye hayupo kwenye hizo nafasi tajwa ni bahatisha ndurutey

labda kama utaanza kutoka na viben10
 
26904039_2252249954800572_8528935633330510939_n.jpg
hahaaa naona amenyanyua mguu ili upepo upate kujinafasi.
kuna nyakati mtu waweza jikuta unaitamani nafasi ya kuwa upepo .kiti .etc
 
Single parents wa kuoa/kuolewa nae.
1.Baba/mama wa mtoto/watoto awe amefariki.
2.Baba wa mtoto aliikataa mimba na kutokemea kusikojulikana yaani hana habari na mama wala mtoto.

Ukipata wa hivyo na kumchukulia mtoto/watoto ni kama wako mwenyewe hapo utafurahia Maisha na kujiona hakuna mwenye Babati duniani kukuzidi wewe.

Mimi nimempata namba mbili yaani napendwa mpaka naogopa.

Mke wangu alikutana jamaa chuo huko yeye akiwa mwaka wa Pili na jamaa mwaka wa tatu wakiwa vyuo viwili tofauti,mwanamke Morogoro na mwanaume Dar. Jamaa akalamghai kwamba anataka kumuoa na kudate siku moja tu na mimba akanasa. Jamaa kupewa taarifa Nina mimba yako akaikataa na kumblock demu katika njia zote za mawasiliano.
Chuo alichokuwa anasoma demu sheria ni Kali yaani ukipata mimba unafukuzwa chuo(MUM) na pia ametoka familia ya dini sana kiasi kwamba hakuweza kuwaambia nyumbani kwamba amepata mimba isiyokuwa na baba. Ikabidi aendelee na chuo huku akiificha mimba hapo chuoni na nyumbani kwao mpaka alipojifungua na baada ya wiki moja akampeleka mtoto kwenye kituo cha kulelea watoto yatima.
Nimekutana nae Mimi ananipa hiyo story hata kwao hawajui kama ana mtoto yaani yupo frustrated, nikapeleka posa kwao na kumuoa na miezi kumi baada ya kumuoa tukaenda kumkomboa huyo mtoto akiwa na miaka mitatu kamili. Kitoto cha kike kirembo.
Una moyo,,hongera!!
Namjua mtu mimba ilikataliwa ila mwanaume kamfata mtoto baada ya miaka 9,na anajipigia kama kawaida...!!
 
Una moyo,,hongera!!
Namjua mtu mimba ilikataliwa ila mwanaume kamfata mtoto baada ya miaka 9,na anajipigia kama kawaida...!!


Ikimfuata haina shida na akijipigia nikjua namuacha na kuvuta Mrembo mwingine na Maisha yataendelea kama kawaida,huyu mwanamke na mtoto wake na huyo bwana aliyeikataa hiyo wataenda kupambana na hali zao huko mbele.
 
Kuolewa au kudate single daddy kuna vihunzi vya kupitia. Mama watoto atakuona wewe ni kizingiti cha furaha vya watoto wake.

Wapo wengine wanaunda urafiki na mama watoto. Hapa mtakuwa na yapi ya kuongea zaidi ya kumwongelea mwanaume?

Bado ule u malaika wa watoto, wakifika kwa mama yao wanzmhaduthia kila ulichowafanyia. Sasa hapo aambiwe aunt Sky anapiga chapati tamu mama tupeleke Jumamosi.

Wengive mali handle vipi date/ ndoa na single daddy?
Kazi ipo,ila mimi niliipata fresh kutoka kwa Baby Mama wake,anapiga simu kuuliza hali ya mtoto saa6 usiku,eti enhe mtoto vipi anaendeleaje? ana kula vizuri? huyo sijui unamuitaje mpe salam asinitesee mwanangu ajue mie na wewe hatuja achana ila tume tengana,halafu kipindi hicho ndio kwanza nimeolewa nikasema moyoni nikisema niachwe ni aibu eti kosa mtoto wa mke mwenzie huku mume nampenda na kile kitoto ki malaika just 2months ila nilikubali nipoona hapa basi nikaongea ila sasa mtoto nimkubwa anaingia 18yrs this yeah mwenyezi mungu anikuzie..
 
Kazi ipo,ila mimi niliipata fresh kutoka kwa Baby Mama wake,anapiga simu kuuliza hali ya mtoto saa6 usiku,eti enhe mtoto vipi anaendeleaje? ana kula vizuri? huyo sijui unamuitaje mpe salam asinitesee mwanangu ajue mie na wewe hatuja achana ila tume tengana,halafu kipindi hicho ndio kwanza nimeolewa nikasema moyoni nikisema niachwe ni aibu eti kosa mtoto wa mke mwenzie huku mume nampenda na kile kitoto ki malaika just 2months ila nilikubali nipoona hapa basi nikaongea ila sasa mtoto nimkubwa anaingia 18yrs this yeah mwenyezi mungu anikuzie..
Hongera sana.
Binamu yangu aliachana na mkewe, alipopata girl friend baby mother anampigia simu kumwambia watoto wanaumwa. Akiwa njia ni kwenda kuona watoto baby mother anampigia girlfriend na kumwambia 'nikimhitaji ninamuita tu si unaona'. Mwisho baby mother alirudi kwenye ndoa yake.

Kujuta mtoto tuichukulie kuwa ni baraka, cha muhimu wawe wameachana kweli.
 
Hongera sana.
Binamu yangu aliachana na mkewe, alipopata girl friend baby mother anampigia simu kumwambia watoto wanaumwa. Akiwa njia ni kwenda kuona watoto baby mother anampigia girlfriend na kumwambia 'nikimhitaji ninamuita tu si unaona'. Mwisho baby mother alirudi kwenye ndoa yake.

Kujuta mtoto tuichukulie kuwa ni baraka, cha muhimu wawe wameachana kweli.
Ahsante,ila inataka subra hekima,nilikua nalia najiuliza Dhambi yangu nini lol..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom