Maisha na single daddy

Maisha na single daddy

best lugha yako ngumu mno....ila kama nimekuelewa.....tatizo wanawake mnakubali kuachika sawa.....ila msiwasumbue watoto kwa maswali ya; huko mmekula nini? nani kapika? alilala na baba yenu......then mnaanza kuwafundisha......mkienda msimsalimie,,, wala msile chakula chake labda kama baba enu ndo kapika.......msipokee zawadi mziache huko huko mkija nazo nazichoma......ya nini yote haya....vita ni yako baba yao ......kwann mnawapandikiza watoto chuki.....mshaanchana kubali matokeo maisha yasonge,,,,,utakonda bureeee na wivu hasi.....
 
best lugha yako ngumu mno....ila kama nimekuelewa.....tatizo wanawake mnakubali kuachika sawa.....ila msiwasumbue watoto kwa maswali ya; huko mmekula nini? nani kapika? alilala na baba yenu......then mnaanza kuwafundisha......mkienda msimsalimie,,, wala msile chakula chake labda kama baba enu ndo kapika.......msipokee zawadi mziache huko huko mkija nazo nazichoma......ya nini yote haya....vita ni yako baba yao ......kwann mnawapandikiza watoto chuki.....mshaanchana kubali matokeo maisha yasonge,,,,,utakonda bureeee na wivu hasi.....
Yaani hapa ndiyo kwenye tatizo best, sasa aambiwe aunt Sky anapiga chapati nzuri. Kesho baba anabadilishiwa terms and conditions za kuchukua watoto. Umelenga penyewe kabisa
 
Hongera sana mkuu. Sasa ukutane na wale come and we stay baada ya kupata watoto mama anagugundua kuwa jina wanaume wenye mkwanja mrefu wanampenda zaidi. Anasema watoto na kutumia kwenye change.

Unakuta na na huyu baba ameshazoea kufua na kupikia watoto.

Wanaume wa hivi wana mapenzi sana. Unampumzisha siku nyingine hata aende vas kuangalia mpira utabaki na watoto. Mna build trust na mnakuwa familia.
Mama anataka kuona watoto wake, of course ni mama yao. Visa vinaanzia hapo.


Punguza wivu kidogo basi,hahahaaa. Ukweli ni chqngamoto sana ila dawa kubwa ni kuwapenda hao watoto na kudharau changamoto unazozipata kutoka kwa mama wa watoto pengine na yeye anatamani kurudi hapo hivyo anataka kukuharibia.
 
Yaani hapa ndiyo kwenye tatizo best, sasa aambiwe aunt Sky anapiga chapati nzuri. Kesho baba anabadilishiwa terms and conditions za kuchukua watoto. Umelenga penyewe kabisa
hii changamoto napambana nayo mno.....sijui lini atakubali matokeo
 
hii changamoto napambana nayo mno.....sijui lini atakubali matokeo
Na wakati huo yeye ana mtu wake Tena si ajabu anaishi nae lakini a kusikia baby farher anataka kuoa ni kasheshe.

Wengine anataka akuzoee, ninaogopa szna urafiki huu
 
Punguza wivu kidogo basi,hahahaaa. Ukweli ni chqngamoto sana ila dawa kubwa ni kuwapenda hao watoto na kudharau changamoto unazozipata kutoka kwa mama wa watoto pengine na yeye anatamani kurudi hapo hivyo anataka kukuharibia.
Na wewe ukipata wa kwako wanajua pamoja hapo humour nafasi mama kuleta maneno
 
Mapenzi yenye furaha maisha watu mkutane wapya sio huyu amezaa huko sijui na nani alafu mmnaowana , hapo hakuna furaha ya moja kwa moja kwenye ndoa bali ni kuishi kusubiri kufa tu
 
Mapenzi yenye furaha maisha watu mkutane wapya sio huyu amezaa huko sijui na nani alafu mmnaowana , hapo hakuna furaha ya moja kwa moja kwenye ndoa bali ni kuishi kusubiri kufa tu
Mkuu maisha haya a formula, unaweza kukuta watoto wanaohitaji upendo wako na Mungu akakubariki kwa kuwapenda.

Kama una uwezo wawezeshe kwa kila namna. Wakitoka tu chuo kikuu cwanawaacha wewe na mr.
 
Kweli mimi sioni kudate nao ni mbaya shida watoto tu wasikupendee
Utalia sana halafu uwakute wanajitambua age ya 6 nakuendelea wana mambo kidogo sasa we acha tu.
Nimewahi date na mmoja watoto kama mimi dah nikasepa halafu bado wanakuita mama mdogo.
Age hatuendani ila warefu sana. Ai mkienda outing kazii ila kiukweli wanaheshima sana.
Ila best yanguu kaolewa na mtu ambaye watoto wanamtesa sana sana .
 
Kweli mimi sioni kudate nao ni mbaya shida watoto tu wasikupendee
Utalia sana halafu uwakute wanajitambua age ya 6 nakuendelea wana mambo kidogo sasa we acha tu.
Nimewahi date na mmoja watoto kama mimi dah nikasepa halafu bado wanakuita mama mdogo.
Age hatuendani ila warefu sana. Ai mkienda outing kazii ila kiukweli wanaheshima sana.
Ila best yanguu kaolewa na mtu ambaye watoto wanamtesa sana sana .
Na watoto wengine wana majibu hata ukitaka kupika anakwambia sufuria ya mama yetu hiyo. Lakini wakijua watakua na maisha yao babavyaoxwatamuacha.
 
Kuolewa au kudate single daddy kuna vihunzi vya kupitia. Mama watoto atakuona wewe ni kizingiti cha furaha vya watoto wake.

Wapo wengine wanaunda urafiki na mama watoto. Hapa mtakuwa na yapi ya kuongea zaidi ya kumwongelea mwanaume?

Bado ule u malaika wa watoto, wakifika kwa mama yao wanzmhaduthia kila ulichowafanyia. Sasa hapo aambiwe aunt Sky anapiga chapati tamu mama tupeleke Jumamosi.

Wengive mali handle vipi date/ ndoa na single daddy?
Dada huwa unakuwa unaendesha gari wakati unaandika Nyuzi zako????? Yaani huwa hufuati misingi ya kiuandishi sijui Ughaibuni kumekuathiri unatafsiri Kingereza kwa Lugha ya Chato sijuiiii
 
Dada huwa unakuwa unaendesha gari wakati unaandika Nyuzi zako????? Yaani huwa hufuati misingi ya kiuandishi sijui Ughaibuni kumekuathiri unatafsiri Kingereza kwa Lugha ya Chato sijuiiii
Kaka nitalifanyia kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom