Maisha haya nipo mwenyewe

Maisha haya nipo mwenyewe

Godwin peter

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2019
Posts
374
Reaction score
638
Haya maisha bana najihisi nina nyota ya kuwa peke yangu tu, tangu kuzaliwa nimezaliwa peke yangu sina kaka wala dada yaani peke yangu.

Nimeishi mpka sasa nina miaka 27 yaani peke yangu peke yangu tu, ofcourse nina kazi tulikuwa wanne wote wamefukuzwa nimebaki peke yangu, sina rafiki wa karibu yaani nipo peke yangu tu, nilikuwa nakaa na mshikaji wangu as tunashare house kasepa now nipo peke yangu yaani sijui naona wengine wana watu wanafurahi lakini mimi nimejikuta tu hivyo too bad asee.
 
Maisha haya unahitaji mtu wa kumshirikisha furaha na huzuni zako my dear! Naomba niwe fariki yako?
 
Unaposema upo peke yako unamaanisha ndani ya nyumba unayoishi au duniani hapa? Mbona umelalamika sana wakati dunia ina watu wengi sana kila kona?
 
Jichanganye na usipende kujitenga na watu/ndugu
 
Unaposema upo peke yako unamaanisha ndani ya nyumba unayoishi au duniani hapa?
Mbona umelalamika sana wakati dunia ina watu wengi sana kila kona?
Yes, watu wapo wengi sana but mimi sina
 
Back
Top Bottom