dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,597
- 60,826
Udomo zege mbaya sana
Bro mimi hata sio domo zegeudomo zege mbaya sana
yes,watu wapo wengi sana but mimi sina
Yaani basi tu nyota yangu ni ya kuwa alone alone tuKazi unafanya mwenyewe, barabarani unajikuta mwenyewe, ibadani unaenda mwenyewe????
Au huoni au huna unaowataka wewe??
How do you cope? ikitokea kuwa alone?Sijui kwanini Ila huwa si-mind kabisa kuwa alone!
We si unamiaka 41 huyu mdogo wako 27Jaman pole ndugu yako nipo hapa![]()
Sio 41 ni 47



ndio ni mdogo wangu wa tisaHarafu habari za kuniharibia michongo yangu SITAKI



Hahahahah Noma kweliUkipata dada wa kukudanga utaleta uzi tena humu kuja kuutetea upweke.
Naomba niwe mdogo wako,nimezaliwa peke yangu pia naona tunaendana kabisa niko seriously.
NdioKumbe hii hali tupo wengi
Fika Kanisani Kwangu Tuombe Pamoja Kuondoa Hiyo Hali
Usisahau Sadaka Yako Ndiyo Muhimu Sana.




Change your interpretation.Yaani basi tu nyota yangu ni ya kuwa alone alone tu
Fika Kanisani Kwangu Tuombe Pamoja Kuondoa Hiyo Hali
Usisahau Sadaka Yako Ndiyo Muhimu Sana.




Hali ya kujitenga huwa inakuja automatic asa sijui ni sisi tuliozaliwa alone alone nlkuwa na rafk yuko alone nae hapendi kuchangamana same to me nko hvohvo na nkijitahidi kujichanganya nashndwa yan mejitahidi meshindwa hata itokee msiba sherehe unakuta mejitenga pemben kivyangu yan daah sipend ila inakuja automaticJichanganye na usipende kujitenga na watu/ndugu
Pole sana dear, ni mazoea ndio yanasababisha hvyo ila unaweza kuvunja hayo mazoea. Unajichanganya tu hata usipoongea sana.Hali ya kujitenga huwa inakuja automatic asa sijui ni sisi tuliozaliwa alone alone nlkuwa na rafk yuko alone nae hapendi kuchangamana same to me nko hvohvo na nkijitahidi kujichanganya nashndwa yan mejitahidi meshindwa hata itokee msiba sherehe unakuta mejitenga pemben kivyangu yan daah sipend ila inakuja automatic