Maisha hapo awali katika Mars

Mkuu Einstein, udadisi mkubwa ambao unafanywa hivi sasa katika sayari ya Mars, tukianza na NASA kupitia chombo chao cha "Perseverance" huku kimkakati washirikiana kwa karibu na Elon Musk kupitia SPACE X. Na pia CNSA na chombo chao cha "Zhurong" pamoja na kile kingine cha India yaani "Mangalayaan" vyote kwa pamoja vinachunguza kuhusu uwepo wa uhai ama maji katika sayari.

Udadisi huu kutokana na ukaribu wa sayari hii na dunia, ni kitu ambacho kinaweza kuamsha udadisi wa kwa nini vifanyike katika sayari na wala siyo nyingine. Ile hamu ya watu hawa kutaka kwenda kuishi huko inaonyesha pengine kuna habari ya siri za huko. Gharama kubwa zinazotumika ya kwenda huko, licha ya umbali na baridi kali iliyoko huko inaweza kudhihirisha ukweli huo.

Yapo makundi ya siri ambao hujiita kuwa wao ndiyo wamefunuliwa mambo ya siri na Shetani mwenyewe. Pengine hii ndiyo sababu yenye kuifanya Mars kuwa sayari lengwa kuifanya kuwa koloni jipya na hatimaye kama makazi mapya kwa mwanadamu.

Kama kawaida, nukuu ifuatavyo kutoka katika maandiko matakatifu inaweza kutupa uwepo wa makazi sehemu fulani mbinguni, ambayo huitwa kama mbingu ya tatu. Sehemu ambayo Shetani hajawahi kuifahamu hapo awali.

2 Wakorintho 12

2 Namfahamu mtu aliyekuwa ndani ya Kristo ambaye miaka kumi na minne iliyopita alijikuta katika mbingu ya tatu. Kama alikuwa katika mwili au katika roho mimi sijui, Mungu anajua.

3 Na ninafahamu ya kuwa huyu mtu alijikuta yuko Paradiso, kama alikuwa katika mwili au katika roho mimi sijui, Mungu anajua.

4 Naye alisikia mambo ambayo hayawezi kusimuliwa, ambayo mtu hawezi kuyatamka.
Pindi mtakaposhituka mtakuja jua tu hakuna kitu inaitwa sayari yaani bali ni nyimbo tu za kijinga za kukaririshana majina ya miungu ya kiroma na kigiriki!
Na mkishituka vizuri mtajua tu zaidi kuwa hayo mashirika ya anga yote ni dini moja, nia Moja, kauli moja na msimamo mmoja kunidanganya mimi mjingamjinga hapa!!
 
Ibilisi anatambua ukweli ndiyo maana anafanya kila awezalo ili aweze kurudi huko. Yeye ana asili ya mwili wa kiroho ulioumbwa nao kwa asili, nao uliumbwa kwa upepo na miali ya moto, hivyo hawezi kwenda huko bila ya msaada wa mwanadamu ambaye ana mwili ambao umeumbwa kwa udongo.
Kwamba ibilisi anamtumia Elon kuandaa safari ya kurudi kwenye makazi yake huko Mars kabla Yesu hajatia maguu hapo Chato
 
Lakini tujiulize why safari ya Mars kwanini imeshupaliwa sana
huko watu wanaliwahi koloni jipya,kina Musk wanataka weka rekodi kua ni Binadamu wa kwanza kutua miguu Yao huko Ili kuweza legacy kubwa,ndio maaana utaona wameikamia hiyo shoo iwe jua iwe mvua,iwe Nuru iwe kiza!
 
Huenda Ibilisi pamoja na malaika wengine waovu kabla ya kushindwa vita huko mbinguni waliishi katika sayari ya Mars. Ni lazima nikiri ukweli ya kwamba hakuna nyaraka zilizopo ambazo zinaweza kubainisha jambo hili moja kwa moja, isipokuwa tunaweza kupata picha ya jambo hili kupitia maandiko matakatifu.

Kwa kuwa maandiko matakatifu yanaweza kujitetea yenyewe pasipo msaada wa nyaraka nyingine, basi uwezekano wa jambo hili unaweza kuwekwa wazi kupitia vifungu vya mbalimbali aya zilizopo ndani yake. Aya hizi zikiweza kuangaliwa vyema vitalithibitisha jambo hili.

Ni ukweli ya kuwa kulitokea vita ya uasi mbinguni, ambapo malaika mkuu Mikaeli pamoja na malaika wengine waaminifu kwa Mungu, walipambana na Ibilisi pamoja na malaika wengine waovu. Matokeo ya vita hivyo ni kwamba malaika waovu walishindwa na kufurumushwa mbinguni.

Malaika hao walitupwa katika sayari ya dunia na kuwekwa vifungoni. Sehemu hii iitwayo kuzimu ilikuwa ni chini ya sura nchi ambayo ilikuwa imezungukwa juu yake na giza nene pamoja na vilindi vya maji mengi.

Ukweli huu tunaupata kupitia nukuu ya historia ya kabla ya kuumbwa kwa mwanadamu kama vile ifuatavyo;

Mwanzo 1
1 Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.
2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.

Aidha, tukirejea katika maandiko, inatudhihirishia kuwa Ibilisi kabla ya vita huko mbinguni hakuwa akiishi huko mbinguni. Bali alipanda kwenda mbinguni makao ya Mungu ili akafanye uasi ili naye aweze kuinua kiti chake cha enzi cha kifalme na aweze kufanana na Muumba wake.

Nukuu kuhusu ukweli huu tunaweza kuipata kama vile ifuatavyo;

Isaya 14

12 Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi! Jinsi ulivyokatwa kabisa, Ewe uliyewaangusha mataifa!
13 Nawe ulisema moyoni mwako, Nitapanda mpaka mbinguni, Nitakiinua kiti changu juu kuliko nyota za Mungu; Nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, Katika pande za mwisho za kaskazini.
14 Nitapaa kupita vimo vya mawingu, Nitafanana na yeye Aliye juu.
15 Lakini utashushwa mpaka kuzimu; Mpaka pande za mwisho za shimo.

Kuna kila dalili uwanja wa mapambano haukuwa mbinguni katika makao ya Mungu aliye hai, bali walifurumushwa na hatimaye mapambano makali yalifanyika katika makao yao, yaani sayari hii ya Mars. Licha ya vita hii kufanyika huko, tunaupata ukweli huu kwa kuwa kwa mwanadamu eneo lote la juu ya nchi huitwa mbingu kama vile ambapo tunapata nukuu kutoka katika maandiko;

Mwanzo 1
7 Mungu akalifanya anga, akayatenga maji yaliyo juu ya anga na yale yaliyo chini ya anga hilo. Ikawa hivyo.
8 Mungu akaliita anga “Mbingu.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya pili"

Mungu ndiye asili ya vyote, kwa Yeye ndiye Muumbaji wa vitu vyote na anamiliki vyote. Aliitambua nia ya Ibilisi na asingiweza kamwe aweze kufikia sehemu aishiyo ili apate kufanya vita dhidi yake. Bali ni kweli vita vya kiroho vilitokea kupitia nukuu ifuatavyo ya maandiko;

Ufunuo wa Yohana 12

7 Kisha, kukazuka vita mbinguni: Mikaeli na malaika wake walipigana na hilo joka, nalo likawashambulia pamoja na malaika wake.
8 Lakini joka hilo na malaika wake walishindwa, na hatimaye hapakuwa tena na nafasi mbinguni kwa ajili yao.
9 Basi, joka hilo kuu likatupwa nje. Joka hilo ndiye yule nyoka wa kale ambaye huitwa pia Ibilisi au Shetani ambaye huudanganya ulimwengu wote. Naam, alitupwa duniani, na malaika wake wote pamoja naye.

Ukizichumguza picha za sura ya sayari kutoka kwa vyombo vya "rovers" vya USA na China vilivyopo huko hivi sasa. Ama chombo cha anga kilichopelekwa na India katika "orbit" ya Mars utaona mahame yaliyopo ndani yake. Utauona mfanano wa mahame na ya zile picha za Sodoma na Gomora zilizoteketezwa na moto wa Mungu kupitia kwa malaika wake.

Sura ya sayari ya Mars inaonyesha kuna kila dalili za uwepo wa maisha na maji hapo zamani za kale. Na huu ni ukweli ambao hata Ibilisi mwenyewe anautambua na hapingani nao.

Ibilisi anatambua ukweli ndiyo maana anafanya kila awezalo ili aweze kurudi huko. Yeye ana asili ya mwili wa kiroho ulioumbwa nao kwa asili, nao uliumbwa kwa upepo na miali ya moto, hivyo hawezi kwenda huko bila ya msaada wa mwanadamu ambaye ana mwili ambao umeumbwa kwa udongo.

Waebrania 1
7 Anapozungumza juu ya malaika anasema: “Anawafanya malaika wake kuwa upepo, watumishi wake kuwa ndimi za moto.”

Napenda kuhitimisha mada yangu kwa kusema, huenda Ibilisi aliishi kabla ya uwepo wa mwanadamu katika sayari ya Mars. Makao yake katika sayari hii pengine yaliangamizwa kutokana uasi wake dhidi ya usasi kwa Mungu na Muumbaji wake.
Ko unataka kuniqmbia
Huenda Ibilisi pamoja na malaika wengine waovu kabla ya kushindwa vita huko mbinguni waliishi katika sayari ya Mars. Ni lazima nikiri ukweli ya kwamba hakuna nyaraka zilizopo ambazo zinaweza kubainisha jambo hili moja kwa moja, isipokuwa tunaweza kupata picha ya jambo hili kupitia maandiko matakatifu.

Kwa kuwa maandiko matakatifu yanaweza kujitetea yenyewe pasipo msaada wa nyaraka nyingine, basi uwezekano wa jambo hili unaweza kuwekwa wazi kupitia vifungu vya mbalimbali aya zilizopo ndani yake. Aya hizi zikiweza kuangaliwa vyema vitalithibitisha jambo hili.

Ni ukweli ya kuwa kulitokea vita ya uasi mbinguni, ambapo malaika mkuu Mikaeli pamoja na malaika wengine waaminifu kwa Mungu, walipambana na Ibilisi pamoja na malaika wengine waovu. Matokeo ya vita hivyo ni kwamba malaika waovu walishindwa na kufurumushwa mbinguni.

Malaika hao walitupwa katika sayari ya dunia na kuwekwa vifungoni. Sehemu hii iitwayo kuzimu ilikuwa ni chini ya sura nchi ambayo ilikuwa imezungukwa juu yake na giza nene pamoja na vilindi vya maji mengi.

Ukweli huu tunaupata kupitia nukuu ya historia ya kabla ya kuumbwa kwa mwanadamu kama vile ifuatavyo;

Mwanzo 1
1 Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.
2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.

Aidha, tukirejea katika maandiko, inatudhihirishia kuwa Ibilisi kabla ya vita huko mbinguni hakuwa akiishi huko mbinguni. Bali alipanda kwenda mbinguni makao ya Mungu ili akafanye uasi ili naye aweze kuinua kiti chake cha enzi cha kifalme na aweze kufanana na Muumba wake.

Nukuu kuhusu ukweli huu tunaweza kuipata kama vile ifuatavyo;

Isaya 14

12 Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi! Jinsi ulivyokatwa kabisa, Ewe uliyewaangusha mataifa!
13 Nawe ulisema moyoni mwako, Nitapanda mpaka mbinguni, Nitakiinua kiti changu juu kuliko nyota za Mungu; Nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, Katika pande za mwisho za kaskazini.
14 Nitapaa kupita vimo vya mawingu, Nitafanana na yeye Aliye juu.
15 Lakini utashushwa mpaka kuzimu; Mpaka pande za mwisho za shimo.

Kuna kila dalili uwanja wa mapambano haukuwa mbinguni katika makao ya Mungu aliye hai, bali walifurumushwa na hatimaye mapambano makali yalifanyika katika makao yao, yaani sayari hii ya Mars. Licha ya vita hii kufanyika huko, tunaupata ukweli huu kwa kuwa kwa mwanadamu eneo lote la juu ya nchi huitwa mbingu kama vile ambapo tunapata nukuu kutoka katika maandiko;

Mwanzo 1
7 Mungu akalifanya anga, akayatenga maji yaliyo juu ya anga na yale yaliyo chini ya anga hilo. Ikawa hivyo.
8 Mungu akaliita anga “Mbingu.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi; siku ya pili"

Mungu ndiye asili ya vyote, kwa Yeye ndiye Muumbaji wa vitu vyote na anamiliki vyote. Aliitambua nia ya Ibilisi na asingiweza kamwe aweze kufikia sehemu aishiyo ili apate kufanya vita dhidi yake. Bali ni kweli vita vya kiroho vilitokea kupitia nukuu ifuatavyo ya maandiko;

Ufunuo wa Yohana 12

7 Kisha, kukazuka vita mbinguni: Mikaeli na malaika wake walipigana na hilo joka, nalo likawashambulia pamoja na malaika wake.
8 Lakini joka hilo na malaika wake walishindwa, na hatimaye hapakuwa tena na nafasi mbinguni kwa ajili yao.
9 Basi, joka hilo kuu likatupwa nje. Joka hilo ndiye yule nyoka wa kale ambaye huitwa pia Ibilisi au Shetani ambaye huudanganya ulimwengu wote. Naam, alitupwa duniani, na malaika wake wote pamoja naye.

Ukizichumguza picha za sura ya sayari kutoka kwa vyombo vya "rovers" vya USA na China vilivyopo huko hivi sasa. Ama chombo cha anga kilichopelekwa na India katika "orbit" ya Mars utaona mahame yaliyopo ndani yake. Utauona mfanano wa mahame na ya zile picha za Sodoma na Gomora zilizoteketezwa na moto wa Mungu kupitia kwa malaika wake.

Sura ya sayari ya Mars inaonyesha kuna kila dalili za uwepo wa maisha na maji hapo zamani za kale. Na huu ni ukweli ambao hata Ibilisi mwenyewe anautambua na hapingani nao.

Ibilisi anatambua ukweli ndiyo maana anafanya kila awezalo ili aweze kurudi huko. Yeye ana asili ya mwili wa kiroho ulioumbwa nao kwa asili, nao uliumbwa kwa upepo na miali ya moto, hivyo hawezi kwenda huko bila ya msaada wa mwanadamu ambaye ana mwili ambao umeumbwa kwa udongo.

Waebrania 1
7 Anapozungumza juu ya malaika anasema: “Anawafanya malaika wake kuwa upepo, watumishi wake kuwa ndimi za moto.”

Napenda kuhitimisha mada yangu kwa kusema, huenda Ibilisi aliishi kabla ya uwepo wa mwanadamu katika sayari ya Mars. Makao yake katika sayari hii pengine yaliangamizwa kutokana uasi wake dhidi ya usasi kwa Mungu na Muumbaji wake.
Ko unataka kuniambia shetani hawezi kufika Mars bila vyombo vya wanaanga?
 
Ko unataka kuniqmbia

Ko unataka kuniambia shetani hawezi kufika Mars bila vyombo vya wanaanga?
Mkuu Kiko Jr, kutokana na maandiko hawezi kamwe kurudi huko bila ya msaada wa binadamu. Pengine labda turejee tena kupitia nukuu ya maandiko kama vile ifuatavyo;

UFUNUO WA YOHANA 12

8 Lakini joka hilo na malaika wake walishindwa, na hatimaye hapakuwa tena na nafasi mbinguni kwa ajili yao.

9 Basi, joka hilo kuu likatupwa nje. Joka hilo ndiye yule nyoka wa kale ambaye huitwa pia Ibilisi au Shetani ambaye huudanganya ulimwengu wote. Naam, alitupwa duniani, na malaika wake wote pamoja naye.
 
Mkuu Kiko Jr, kutokana na maandiko hawezi kamwe kurudi huko bila ya msaada wa binadamu. Pengine labda turejee tena kupitia nukuu ya maandiko kama vile ifuatavyo;

UFUNUO WA YOHANA 12

8 Lakini joka hilo na malaika wake walishindwa, na hatimaye hapakuwa tena na nafasi mbinguni kwa ajili yao.

9 Basi, joka hilo kuu likatupwa nje. Joka hilo ndiye yule nyoka wa kale ambaye huitwa pia Ibilisi au Shetani ambaye huudanganya ulimwengu wote. Naam, alitupwa duniani, na malaika wake wote pamoja naye.
kwahiyo mkuu kwanini joka Ibilisi alitupwa Duniani na wakati sayari kibao zipo tupu,Yaani huyo Mungu alitutupia Hilo joka sehemu ambayo tunaishi halafu Hapo Hapo anataka tulishinde Ili Hali yeye lilimshinda huko Mbinguni?
Hivi huyo Mungu aliwaza Nini lakini?
 
kwahiyo mkuu kwanini joka Ibilisi alitupwa Duniani na wakati sayari kibao zipo tupu,Yaani huyo Mungu alitutupia Hilo joka sehemu ambayo tunaishi halafu Hapo Hapo anataka tulishinde Ili Hali yeye lilimshinda huko Mbinguni?
Hivi huyo Mungu aliwaza Nini lakini?
Mungu alipowaumba malaika aliwapa uhuru wa kutambua mambo mema na mabaya. Na pia aliwapa uhuru wa kuchagua katika ya hayo mawili ili wapate kuthibitisha utii wao kwake. Pale ulipotokea uasi, sio kwamba Mungu alishindwa kumuangamiza Shetani mara moja, hakufanya hivyo kwa kuwa Yeye ni Mungu mwenye haki, alimfukuza mbinguni na kumweka kifungoni kwa muda hapa duniani, ili akapate kuidhihirisha haki hiyo.

Aidha, wengi wetu wanaweza kujiuliza ni kwa nini alifanya hivyo!? Ndiyo! Hakuwa na haraka ya kuwaangamiza wale malaika waasi, kwanza ili wapate muda wa kujutia uovu wao. Lakini pili, ilikuwa ni kutoa funzo kwa wale malaika watiifu waliobakia mbinguni wapate kushihudia athari za uasi, dhambi na kuthibitisha hukumu zake za haki.

Kwa hiyo basi kuumbwa kwa mwanadamu na kuwekwa duniani ilikuwa ni kama "case study" mbinguni juu ya uasi, dhambi na hukumu za haki. Mungu aliumba kiumbe kipya ambaye ni mwanadamu, na kukipa nafasi ya kuchagua kutenda mema na mabaya kama vile ambavyo ilivyokuwa kwao malaika. Kwa hiyo kumuumba mwanadamu kwa mfano wake, ni kwamba alimuumba ili apate utashi wa kuchagua jambo jema ama baya pasipo shurti yoyote ile, ili akapate kuuthibitisha utiifu wake kwake na kwa hiari yake yeye mwenyewe.

Ndiyo maana nukuu ya maandiko hueleza kama vile ifuatavyo;

MWANZO 1

26 Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.”

27 Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke.

Adamu aliumbwa kama kithibiti juu ya uasi na dhambi, lakini Eva aliumbwa kama "weak link" juu ya hayo. Dhambi haikutokea katika kipindi ambacho Adamu alikuwa akiishi peke yake, lakini alipokuja Eva ndipo majaribu yalifanikiwa na hatimaye kumuangusha mwanadamu dhambini.

Ndiyo maana ya uwepo wa mti ule wa ujuzi wa mambo mema na mabaya. Na ndio maana Mungu alipompa upenyo Ibilisi kuleta majaribu, aliweza kumlenga Eva na wala siyo Adam.

Labda tuyarejee kwa mara nyingine maandiko ili tuweze kupata tafakari kama ifuatavyo;

MWANZO 2

15 Basi, Mwenyezi-Mungu akamtwaa huyo mwanamume, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza.

16 Mwenyezi-Mungu alimwamuru huyo mwanamume, “Waweza kula matunda ya mti wowote katika bustani;

17 lakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya, usile, maana siku utakapokula matunda ya mti huo, hakika utakufa.”

Hii ndiyo maana ninasema ulikuwa ni "case study" ambayo kupitia kwayo malaika watiifu wameweza kujifunza kuhusu hukumu za haki zitakazo tolewa kwa wale malaika waovu.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Mungu alipowaumba malaika aliwapa uhuru wa kutambua mambo mema na mabaya. Na pia aliwapa uhuru wa kuchagua katika ya hayo mawili ili wapate kuthibitisha utii wao kwake. Pale ulipotokea uasi, sio kwamba Mungu alishindwa kumuangamiza Shetani mara moja, hakufanya hivyo kwa kuwa Yeye ni Mungu mwenye haki, alimfukuza mbinguni na kumweka kifungoni kwa muda hapa duniani, ili akapate kuidhihirisha haki hiyo.

Aidha, wengi wetu wanaweza kujiuliza ni kwa nini alifanya hivyo!? Ndiyo! Hakuwa na haraka ya kuwaangamiza wale malaika waasi, kwanza ili wapate muda wa kujutia uovu wao. Lakini pili, ilikuwa ni kutoa funzo kwa wale malaika watiifu waliobakia mbinguni wapate kushihudia athari za uasi, dhambi na kuthibitisha hukumu zake za haki.

Kwa hiyo basi kuumbwa kwa mwanadamu na kuwekwa duniani ilikuwa ni kama "case study" mbinguni juu ya uasi, dhambi na hukumu za haki. Mungu aliumba kiumbe kipya ambaye ni mwanadamu, na kukipa nafasi ya kuchagua kutenda mema na mabaya kama vile ambavyo ilivyokuwa kwao malaika. Kwa hiyo kumuumba mwanadamu kwa mfano wake, ni kwamba alimuumba ili apate utashi wa kuchagua jambo jema ama baya pasipo shurti yoyote ile, ili akapate kuuthibitisha utiifu wake kwake na kwa hiari yake yeye mwenyewe.

Ndiyo maana nukuu ya maandiko hueleza kama vile ifuatavyo;

MWANZO 1

26 Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.”

27 Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke.

Adamu aliumbwa kama kithibiti juu ya uasi na dhambi, lakini Eva aliumbwa kama "weak link" juu ya hayo. Dhambi haikutokea katika kipindi ambacho Adamu alikuwa akiishi peke yake, lakini alipokuja Eva ndipo majaribu yalifanikiwa na hatimaye kumuangusha mwanadamu dhambini.

Ndiyo maana ya uwepo wa mti ule wa ujuzi wa mambo mema na mabaya. Na ndio maana Mungu alipompa upenyo Ibilisi kuleta majaribu, aliweza kumlenga Eva na wala siyo Adam.

Labda tuyarejee kwa mara nyingine maandiko ili tuweze kupata tafakari kama ifuatavyo;

MWANZO 2

15 Basi, Mwenyezi-Mungu akamtwaa huyo mwanamume, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza.

16 Mwenyezi-Mungu alimwamuru huyo mwanamume, “Waweza kula matunda ya mti wowote katika bustani;

17 lakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya, usile, maana siku utakapokula matunda ya mti huo, hakika utakufa.”

Hii ndiyo maana ninasema ulikuwa ni "case study" ambayo kupitia kwayo malaika watiifu wameweza kujifunza kuhusu hukumu za haki zitakazo tolewa kwa wale malaika waovu.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Hoja yangu ni kwamba,mbona hua mnaaminisha watu ukiwa mbinguni hakuna ubaya Wala hakuna mawazo yoyote ya uasi ni sehemu unastarehe hakuna tabu wala shida yoyote,
Huyo shetani roho ya uasi aliipata wapi,Yaani imagine upo mbinguni na Mungu,Malaika,maserafi nk
Wamekuzunguka halafu unaamua uasi hiyo inawezekanaje Ina maana mbingu nayo si salama na huko muda wowote kinanuka kama Malaika wenyewe umesema wamepewa utashi wa kuchagua jema na Baya huoni siku ikifika binadamu tumefika huko na Kuna uwezekano wa tamaa za madaraka kutuingia tukapindua meza?
Nawaza Kwa sauti hapa!
 
Badao naendelea na tafakuri yangu kuhusu vita vya uasi vilivyotokea mbinguni kabla ya mwanadamu kuumbwa na Mungu. Bado ninaamini ya kuwa huenda vita hiyo kubwa katika ulimwengu wa roho havikufanyika katika makao rasmi ya Mungu mbinguni, bali vilifanyika makao ya hao malaika walioasi.

Makao rasmi ni sehemu takatifu sana, na ndipo kilipo kiti chake cha enzi. Mungu kwa vyovyote vile hawezi kurusu dhambi ama udhaifu utokee katika sehemu hii.

Kumbuka katika nyakati hizo, jeshi la malaika watakatifu yalikuwa chini ya malaika wakuu watatu, yaani Mikaeli, Gabrieli na Lucifa. Malaika hawa wakuu kila mmoja wao chini yake alikuwa na safu ya malaika wapatao theluthi moja ya idadi ya malaika wote waliopo mbinguni.

Safu ya jeshi lililokuwa chini ya malaika mkuu Mikaeli ilikuwa na dhamana ya ulinzi na usalama mbinguni, safu ya jeshi lililokuwa chini ya malaika mkuu Gabrieli ilihusika na dhamana ya kusimamia masuala ya logistiki na utawala mbinguni, wakati ile safu ya jeshi lililokuwa chini ya Lucifa ilihusika na kusherehesha kwa nyimbo za sifa na kuabudu kwa Mungu wao mbinguni.

Uasi ulipotokea mbinguni, iliwapasa malaika wote washiriki ili waweze kuamua wenyewe kwa hiari yao juu ya hatma yao, na juu nani hasa wanapaswa kumtii. Theluthi mbili iliweza kusimama upande wa Muumba wao, na theluthi moja iliyokuwa chini ya Ibilisi ikaasi pamoja naye.

Ukiangalia picha ya vita vya Har Magedoni vitakavyokuwa, ni sawa kabisa kabisa na vile vilivyopita. Ibilisi na majeshi ya nchi zote duniani yatajikusanya pamoja na zana za kisasa za kivita, lakini hayawezi kupewa nafasi hata kidogo kumsogelea Muumba wao, bali wataangamizwa pasipo kupiga hata risasi moja. Pengine nukuu hapa chini ya maandiko inaweza kuchagiza hiki ambacho ninakizungumzia;

Ufunuo 19

19 Kisha, nikaona yule mnyama pamoja na mfalme wa dunia na askari wao wamekusanyika pamoja kusudi wapigane na yule aliyekuwa ameketi juu ya farasi pamoja na jeshi lake.

20 Lakini huyo mnyama akachukuliwa mateka pamoja na nabii wa uongo aliyekuwa akifanya miujiza mbele yake. (Kwa miujiza hiyo, alikuwa amewapotosha wale waliokuwa na chapa ya huyo mnyama, na ambao walikuwa wameiabudu sanamu yake). Huyo mnyama pamoja na huyo nabii walitupwa wote wawili, wakiwa wazimawazima, ndani ya ziwa linalowaka moto wa madini ya kiberiti.

21 Majeshi yao yaliuawa kwa upanga uliotoka kinywani mwa yule anayepanda farasi. Ndege wote wakajishibisha kwa nyama zao.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo kulikua na jeshi la ulinzi huko hata kabla ya Lucifer kuasi.

Lilikua la kazi gani? Huko mbinguni kulikua kuna security threats pia?
 
MATHAYO 24

(Marko 13:1-2; Luka 21:5-6)

1Yesu alitoka hekaluni, na alipokuwa akienda zake, wanafunzi wake walimwendea, wakamwonesha majengo ya hekalu.

2Yesu akawaambia, “Sawa, mnaweza kuyatazama haya yote! Kweli nawaambieni, hakuna hata jiwe moja litakalosalia hapa juu ya lingine; kila kitu kitaharibiwa

Angamizo lenye amri kutoka mbinguni hufuata kanuni hii. Mbali ya maji kukaushwa pia tunashuhudia hakuna jiwe linaonekana juu ya jiwe katika sura ya sayari hii. Tunaweza kupata sura halisi kupitia "link' ifuatayo;




Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
porojo na hekaya tu hakuna ukweli wowote,hakuna viumbe wanaitwa Shetani,malaika,mungu,mbingu,
Kuzimu,jehanam,akhera!
Na hiyo vita unayoiongelea Hata haipo na haitakuja kuwepo,hakuna Mwisho wa Dunia Wala wa mars hizo ni porojo tu
Dunia itafika Mwisho pale mfumo wetu wa nyota utakapokua supernova tu mengine ni uongo uongo na propaganda,

Povu ruksa!
Hata hujui unachosema wewe,we angalia hata ID yako,una matatizo ya kisaikolojia asilimia mia
 
Hata hujui unachosema wewe,we angalia hata ID yako,una matatizo ya kisaikolojia asilimia mia
Nyie ndio wale Aina ya Watu mmeathirika na propaganda za dini,umejuaje kama Nina Tatizo la saikolojia Ili Hali wewe Sio daktari uliyenifanyia uchunguzi na kugundua tatizo?
Usipende kuendesha mambo Yako Kwa hisia, jaribu kuendana na chunguzi + fact
Nadhani tumeelewana!
 
Upumbavu ulionao,( siyo tusi, mpumbavu ni mtu asiye na Hekima na uwezo mdogo mno wa kufikiria) Ni kipaji kikubwa mno mtu anapokuwa mpumbavu Kama wewe.
Umeandika Kisha ukajihami eti povu Ruksa,so ulijua wazi kuwa umeandika upumbavu ambao haukubariki.
Nadhani Baba yako mzazi ndo MUNGU wako na mama yako ni Mungu mdogo kwa uelewa wako.
Au nadhani huna unaloamini kwa sababu hukuwahi pia kumshuhudia mama yako akienda Labour kukuzaa.
Hongera sana kwa upumbavu uliotukuka
nilitegemea povu kutoka Kwa mpumbavu Mmoja kama wewe ambae umeshindwa kuthibitisha upumbavu wangu ulipo Ili Hali nawe ni mpumbavu usijua lolote zaidi ya kukariri hekaya za kiyahudi huko ukijiona mwerevu kumbe ni mpumbavu na Kwa upumbavu wako unadhani siyajui na siyaelewi mambo ya kipumbavu mnayoamini na Kwa taarifa Yako ewe mpumbavu najua nje ndani hayo mambo unayodhani Mimi ni mpumbavu kwayo,
Ila Kaa ukijua niliamua kuachana na upumbavu wa kuamini vitu vya kipumbavu ambavyo havina ushahidi zaidi ya hisia na so called Imani,
Pumbavu!
 
Hapo mwanzo hakukua na kitu au watu wengine zaidi ya malaika na Mungu wao sasa hayo majeshi yote yalikua ya kazi gani sehemu takatifu?? Yani walikua wanalinda nini wakati hamna threat yoyote kutoka nje? Je walijua kuwa kuna malaika wataasi au mpaka kukawa na majeshi mbinguni?.
Ngoja nisubir jibu
 
Back
Top Bottom