Fedor von Bock
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,321
- 2,149
Dar to Bunjumbura kwa basi ni 85,000
mpaka 80,000
Pia ili usijichoshe waweza panda gari DSM to Kahama 45,000
Kahama to Kabanga Ngara border 20,000
Ngara to Bujumbura 20,000
Ulifikia wapi? Tuanzie hapo kwanza...Kwana kabisa niwape pole kwa mihangaiko yenu ya kila siku wana JF.
Kama heading isemavyo hapo juu, mwezi uliopita/Septemba nilifanya ziara ya kitalii nchini burundi, kwa niliyoyakuta ni balaa tupu, very dangerous. Pia kama kuna Warundi humu basi mje mkanushe au myatolee ufafanuzi haya ninayoenda kuyaongea.
1.Hakuna kuoa zaidi ya mke mmoja, hili lilinishangaza sana ndipo nikaamua kulivalia njuga nikaulizia chanzo. Wenyeji waliniambia eti'' ubhanye abhagore bhenshi nta amatogo yachwiye''
2.Zaidi ya 90% ya wafanyakazi wa serikali ni wa chama tawala, wenyewe wanaita IMIGAMBWE. Kwa huku kwetu TZ, Maadili ya viongozi yanakataza wafanyakazi wa serikali kuwa na milengo ya kisiasa, ila kwa Burundi , Waalimu, madaktari, n.k utawakuta kazini wamevaa t-shirt zenye picha ya rais na chama chake cha CMDD-FDD
3.Mishahara ya wafanyakazi ni pasua kichwa, ni nusu ya hapa kwetu, ila watu bado hawagomi na wanachapa kazi. Mfano, Mwalimu wa shule za upili/Secondary school ni chini ya laki 3 Tsh
4.Wafanya kazi wa ndani ni shida tupu, wengine wanaita UBHUBHOYI au UBHUYAYA, yaani mtu unalipwa Tsh 4000/month,duuu pathetic.
5.Vijana wenye nguvu hukimbilia Tanzania katika mikoa ya Kigoma na Kagera kutafuta vibarua vya kulima mashamba, na hii ni kama uti wa mgongo wa kilimo cha mkoa wa Kigoma, Warundi ndio hulima mahekta mengi kwa ujira mdogo huku wao wakiona ni hela nyingi. Mfano, mtu unalima Hekari ya mita 100 kwa Tsh laki 1 then unaona hela nyingi, duuu
5.Mademu wa burundi ni pasua kichwa, zaidi ya 80% wanatumia pombe kama kuonesha Ubitoz. Na ukimtaka tu wewe mnunulie pombe basi, wanawaogopa watz eti ni Malaya/Abhagilanyi duuu, ila ukipiga kiswahili kizuri ukaahidi kumuoa basi yuko tayari, lakini hataki muishi Burundi bali Tz.
Ongezeeni na mengine, karibu kwa mjadala basi matusi nooo
nkobhe255
Duu ,Ngoja na mimi nifunguke .............
Burudhi ni nchi masikini sana yaani eneo lenye bata ni kama asilimia 5 tu ya nchi yaani bujumbura (ukubwa wa robo dar ) na vimiji vingine viwili ukubwa wa makambako ,ila bujumbura patamu ,maisha ni cheap sana kutokana na pesa yetu kuwa juu kidogo ya yao tshs 79000= 100,000 br hivyo ukilala lodge ya elfu 25,000 asee ninzuri balaa hadi fridge ,ila burundi centre ni aghali sana mahoteli ,ushauli wangu nendeni NIWAKALI hotel ipo bwiza ,inaulinzi balaa hata ukichukua malaya huingii naye kama hana kitambulisho na wanaki retain hadi uthibitishe uko salama na umeruhusu.
View attachment 922889
USWAZI BWIZA (MANZESE YA BUJUMBURA
View attachment 9228910
Warundi wengi sio waaminifu mfano usipande tax kabla hamjaelewana bei atakutoza bili utakimbia na wagonvi sana ,wakijua ww mtanzania wanajua umekuja kula bata au mnunuzi wa madini kuwa makini sana ,chakula kizuri ni ugali/ndizi na mishkaki yao maalumu inaitwa MICHOPOO inaseviwa na vitunguu vyeupe
View attachment 922892
View attachment 922893
MA-BEACH MAZURI BUJUMBURA
View attachment 922894
View attachment 922895
Hii inaitwa borabora beach ni nzuri balaa ,hapa wanaenda warudi wenye pesa magari utayoona ni latest na makali sana ,nyingine ni sagaplashe hii changanyikeni vitoto vizuri vya uswazi vimejaa wengi wanasura za wastani ila kiuno bonge la zigo ,lakini pia kwa dada zetu huwasifu warundi hususani waliochanganyika na watutsi ni mahandsome sana na wako masculine .
View attachment 922896
kuna club yao nimeisahau jina hii hapa ila nusu ya watu ni wazungu halafu hauruhusiwi kuingia na sandles wala singlet
View attachment 922899
Namengi ya kusema juu ya bujumbura niishie hapo
Lipia tangazo labda kabla ya yoteKwanza kabisa napenda kuwapa pole waburundi
Pili kwa anaehitaji mafunzo ya forex anicheki WhatsApp +255769095171
Already paidLipia tangazo labda kabla ya yote
😂😂aisee, hii avatar yako mbona inaniamshia dude dadaangu!
Mkuu bado upo border?November hii na December nipo mkoa wa kagera njoo nitakutembeza Burundi, Rwanda
Sitakuomba gharama yeyote kwasababu nipo na kazi nafanya mipakani Rusumo border ya Rwanda na Kobero border ya Burundi na mara nyingi napenda kulala upande wa pili kwasababu ukiwa m TZ wanakukirimu sana
Kwa zaidi kama upo serious njoo pm
Hahahah!! Umejuaje Kama nipo huku Burundi bebe?Nilijua ni wewe ndo umeandika hayo maneno
Nimeona hapo Kwenye timeline babe nikajisemea kimoyo moyo ni nini kimemleta huku babe wanguHahahah!! Umejuaje Kama nipo huku Burundi bebe?
Hahah!! Kuna project inatakiwa kufanyiwa kwenye hizi nchi wanazotumia lugha ya Kifaransa, Sasa leo nimekua na kazi ya kuzifatilia kwa undani nilianza na Rwanda Sasa hivi nipo Burundi bebeNimeona hapo Kwenye timeline babe nikajisemea kimoyo moyo ni nini kimemleta huku babe wangu
Mmmnh! Haya babeHahah!! Kuna project inatakiwa kufanyiwa kwenye hizi nchi wanazotumia lugha ya Kifaransa, Sasa leo nimekua na kazi ya kuzifatilia kwa undani nilianza na Rwanda Sasa hivi nipo Burundi bebe
Wewe ndio uliekwenda Burundi ulitakiwa ukamilishe Uzi wako kwa uliyoyaonaKwana kabisa niwape pole kwa mihangaiko yenu ya kila siku wana JF.
Kama heading isemavyo hapo juu, mwezi uliopita/Septemba nilifanya ziara ya kitalii nchini burundi, kwa niliyoyakuta ni balaa tupu, very dangerous. Pia kama kuna Warundi humu basi mje mkanushe au myatolee ufafanuzi haya ninayoenda kuyaongea.
1.Hakuna kuoa zaidi ya mke mmoja, hili lilinishangaza sana ndipo nikaamua kulivalia njuga nikaulizia chanzo. Wenyeji waliniambia eti'' ubhanye abhagore bhenshi nta amatogo yachwiye''
2.Zaidi ya 90% ya wafanyakazi wa serikali ni wa chama tawala, wenyewe wanaita IMIGAMBWE. Kwa huku kwetu TZ, Maadili ya viongozi yanakataza wafanyakazi wa serikali kuwa na milengo ya kisiasa, ila kwa Burundi , Waalimu, madaktari, n.k utawakuta kazini wamevaa t-shirt zenye picha ya rais na chama chake cha CMDD-FDD
3.Mishahara ya wafanyakazi ni pasua kichwa, ni nusu ya hapa kwetu, ila watu bado hawagomi na wanachapa kazi. Mfano, Mwalimu wa shule za upili/Secondary school ni chini ya laki 3 Tsh
4.Wafanya kazi wa ndani ni shida tupu, wengine wanaita UBHUBHOYI au UBHUYAYA, yaani mtu unalipwa Tsh 4000/month,duuu pathetic.
5.Vijana wenye nguvu hukimbilia Tanzania katika mikoa ya Kigoma na Kagera kutafuta vibarua vya kulima mashamba, na hii ni kama uti wa mgongo wa kilimo cha mkoa wa Kigoma, Warundi ndio hulima mahekta mengi kwa ujira mdogo huku wao wakiona ni hela nyingi. Mfano, mtu unalima Hekari ya mita 100 kwa Tsh laki 1 then unaona hela nyingi, duuu
5.Mademu wa burundi ni pasua kichwa, zaidi ya 80% wanatumia pombe kama kuonesha Ubitoz. Na ukimtaka tu wewe mnunulie pombe basi, wanawaogopa watz eti ni Malaya/Abhagilanyi duuu, ila ukipiga kiswahili kizuri ukaahidi kumuoa basi yuko tayari, lakini hataki muishi Burundi bali Tz.
Ongezeeni na mengine, karibu kwa mjadala basi matusi nooo
nkobhe255
Usigune bebeMmmnh! Haya babe
Ni wasiwasi tu love,ila sawa.Usigune bebe
Usipate wasi wasi sweetheart...... Sasa hv nipo Comoros ngoja nikutagNi wasiwasi tu love,ila sawa.
Usisahau zawadi hunnybunnyUsipate wasi wasi sweetheart...... Sasa hv nipo Comoros ngoja nikutag
Usijari bebeUsisahau zawadi hunnybunny