Eeebwana eeh[emoji15] [emoji15] [emoji15] ...hapo kung'ang'aniwa lazima asee!Wanapenda wa TZ kwa sababu wanaamini wakiwa TZ wana uhakika wa kuwa huru, na kufanya shughuli zao Kilimo na Ufugaji naona haya ndio yanawafanya kutupenda wa TZ.
Maana Burundi wanawake ni wengi sana hakuna ardhi ya kilimo wala Ufugaji watu ni wengi.
Sensa ya 2010 ilionyesha Burundi ina raia 10,450,901
Wanaume 4,650,700
Wanawake 5,800,201
Ni walevi sana wana mi bia yao michupa mikubwa Pilmus ina ml700 wanapenda sana na pombe za kienyeji, maarufu kama Ndimasi, Ugwagwa, Mgorigori, na kuna New improved fomular inaitwa maarufu UMURAHAMAVYA na hii ukiitumia Yale mayai kwenye korodani hupotea hilo jina linamaanisha hivyoNi chapombe eeeh? [emoji481] [emoji481]
Wazazi wako watakuwa wa Kanda ya ZiwaNimecheka[emoji23] [emoji23] ...coz wazazi wangu wamewaajiri huko kijijini wanatulimia mashamba, ni walevi kweli, halafu wambea balaa! Si mwanaume si mwanamke
Ahaaahaaaa...shikamoo warundi![emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni walevi sana wana mi bia yao michupa mikubwa Pilmus ina ml700 wanapenda sana na pombe za kienyeji, maarufu kama Ndimasi, Ugwagwa, Mgorigori, na kuna New improved fomular inaitwa maarufu UMURAHAMAVYA na hii ukiitumia Yale mayai kwenye korodani hupotea hilo jina linamaanisha hivyo
Na ukiitumia hauwezi kuhisi kufanya mapenzi mpaka siku mbili kwa hiyo ni dawa nzuri ya kupunguza NGUVU ZA KIUME
Yes....mmojawapo mkuuWazazi wako watakuwa wa Kanda ya Ziwa
Ok karibu nikutembeze hapa leo mpakani mwa Rwanda RusumoYes....mmojawapo mkuu
Oooops! Thanx much one day ntakusaka....mi sipo huko kabisaOk karibu nikutembeze hapa leo mpakani mwa Rwanda Rusumo
Hata mimi naishi DSM nipo huku kikazi Pia ndio wazee wangu walikozaliwaOooops! Thanx much one day ntakusaka....mi sipo huko kabisa
Karibu tukale kuku Bunjumbura au KigaliOooops! Thanx much one day ntakusaka....mi sipo huko kabisa
Dada yangu toka huwezi kuamini maana nilifikia Buyenzi. Lakini kote nilikozunguka kuanzia Ngagara Musaga Nyakabiga Bwiza Rohero Kamenge Kinama Kanyosha kote nilikutana na hali hiyo. Kila mtu alikuwa anatafuta nafasi ya kuniibia ni stori ndefu sana.Usinambie[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pole mkuu....itakuwa basi warundi ndo zaoDada yangu toka huwezi kuamini maana nilifikia Buyenzi. Lakini kote nilikozunguka kuanzia Ngagara Musaga Nyakabiga Bwiza Rohero Kamenge Kinama Kanyosha kote nilikutana na hali hiyo. Kila mtu alikuwa anatafuta nafasi ya kuniibia ni stori ndefu sana.
Santee mkuu[emoji120] [emoji120]Karibu tukale kuku Bunjumbura au Kigali
Oooh safi mkuuHata mimi naishi DSM nipo huku kikazi Pia ndio wazee wangu walikozaliwa
Ugumu wa maisha umewafanya wawe hivyo siwalaumu.Pole mkuu....itakuwa basi warundi ndo zao
Kwana kabisa niwape pole kwa mihangaiko yenu ya kila siku wana JF.
Kama heading isemavyo hapo juu, mwezi uliopita/Septemba nilifanya ziara ya kitalii nchini burundi, kwa niliyoyakuta ni balaa tupu, very dangerous. Pia kama kuna Warundi humu basi mje mkanushe au myatolee ufafanuzi haya ninayoenda kuyaongea.
1.Hakuna kuoa zaidi ya mke mmoja, hili lilinishangaza sana ndipo nikaamua kulivalia njuga nikaulizia chanzo. Wenyeji waliniambia eti'' ubhanye abhagore bhenshi nta amatogo yachwiye''
2.Zaidi ya 90% ya wafanyakazi wa serikali ni wa chama tawala, wenyewe wanaita IMIGAMBWE. Kwa huku kwetu TZ, Maadili ya viongozi yanakataza wafanyakazi wa serikali kuwa na milengo ya kisiasa, ila kwa Burundi , Waalimu, madaktari, n.k utawakuta kazini wamevaa t-shirt zenye picha ya rais na chama chake cha CMDD-FDD
3.Mishahara ya wafanyakazi ni pasua kichwa, ni nusu ya hapa kwetu, ila watu bado hawagomi na wanachapa kazi. Mfano, Mwalimu wa shule za upili/Secondary school ni chini ya laki 3 Tsh
4.Wafanya kazi wa ndani ni shida tupu, wengine wanaita UBHUBHOYI au UBHUYAYA, yaani mtu unalipwa Tsh 4000/month,duuu pathetic.
5.Vijana wenye nguvu hukimbilia Tanzania katika mikoa ya Kigoma na Kagera kutafuta vibarua vya kulima mashamba, na hii ni kama uti wa mgongo wa kilimo cha mkoa wa Kigoma, Warundi ndio hulima mahekta mengi kwa ujira mdogo huku wao wakiona ni hela nyingi. Mfano, mtu unalima Hekari ya mita 100 kwa Tsh laki 1 then unaona hela nyingi, duuu
5.Mademu wa burundi ni pasua kichwa, zaidi ya 80% wanatumia pombe kama kuonesha Ubitoz. Na ukimtaka tu wewe mnunulie pombe basi, wanawaogopa watz eti ni Malaya/Abhagilanyi duuu, ila ukipiga kiswahili kizuri ukaahidi kumuoa basi yuko tayari, lakini hataki muishi Burundi bali Tz.
Ongezeeni na mengine, karibu kwa mjadala basi matusi nooo
nkobhe255
Hujasema uko wapi ,tu assume uko dar,dar to kahama 40,000 Hapa utaingia usiku nashauri ulale lodge inaitwa euro lodge ipo karibu na stand, kahama Kuna gari za straight to bujumbura sikumbuki nauli nadhani Kama 30000 hivi ,ndege bujumbura to dar 500,000mkuu asante sana kwa travel guide hii murua,
binafsi nimevutiwa kwenda huko kupunguza stress za vyuma vya hapa tz
Nataka msaada mmoja unisaidie, kwasababu nina likizo ndefu nataka wakati wa kwenda niende kwa njia ya barabara kurudi ndo nirudi kwa flight, je unainformation zozote za usafiri wa nchikavu na je gharama yake maximum itakuwa Tsh ngapi kwa usafiri na huduma ya malazi na chakula kwa week moja itakuwa ngapi
Natanguliza shukurani
Hujasema uko wapi ,tu assume uko dar,dar to kahama 40,000 Hapa utaingia usiku nashauri ulale lodge inaitwa euro lodge ipo karibu na stand, kahama Kuna gari za straight to bujumbura sikumbuki nauli nadhani Kama 30000 hivi ,ndege bujumbura to dar 500,000
Tatizo Njaa inawasumbuaPole mkuu....itakuwa basi warundi ndo zao
Nipo Dar. Asante sana mkuu hii imenionyesha kuwa laki mbili na nusu nafika Bujumbura kabisa, Basi ngoja nijipange likizo hii niitumie vyema mkuu kuongeza wigo katika geography ya ukanda wa maziwa makuu. Ubarikiwe sana.