kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,375
- 10,118
Jinsi Ulivyodadavua inaonekana Wazi Mzazi Wako au Ndugu yako Wa Karibu Akifariki ,Faster Unakata Tiketi ya Go and Return Kwenda Kumzika...!Unajua maana ya mbeba box? Huku you are factory worker, au tunafanya Warehouse,ndugu yangu singangi njaa! Nina health insurance,life insurance Nina saving ya Uzeeni 401K nina Social Security, nina magari, Nina nyumba worthy $350000,Mimi na mke hata tukijirusha net saving$ 1500-2000, utasema naganga njaa.Hii ni miaka kumi niliyokaa US.Naomba niulize ni Watanzania wangapi kila mwezi ana saving hiyo? Najua wapo,lakini mimi mtu wa kawaida US, niambie Mtanzania wa kawaida kabisa anaweza kuwa na maisha hayo! Maisha ni kupanga jamaa yangu.
Imetosha Mkuu.....Hahaha 😂😂🤣🤣 wabongo banah kila sekunde akili yao inaelekea kwenye kukaba. Ndo maana panya road hawaishi. Anyway kwa kukuridhisha ngoja nikurushie picha ya ndani, picha yang na ya mwanangu akiwa maeneo ya shule.
View attachment 2207185
View attachment 2207186
Picha hizo 👆 nilipiga juzi kati wakati mvua ilipokuwa inakaribia kunyesha.
View attachment 2207187
View attachment 2207188
View attachment 2207190
Watu wanaongea wee unaleta ushoga Happ jinga sanaNaona unaweweseka na hilo jina Da Vinci, ila ukweli ndio huo bwashee, wewe tumia tu jina la Da Vinci haimaanishi kwamba na wewe unapakuliwa.
Hata mimi siamini kama inawezekana kuishi Marekani kwa matumizi ya $600 kwa mwezi (including bills), hata ukiwa unaishi pekee yako (huna familia). Kuna phone bills, kuna internet and TV bills, kuna kodi ya umeme na maji/maji taka, kodi ya nyumba - whether umepanga au unalipia mortgage nyumba yako, kuna monthly vehicle insurance, kuna kujaza petroli, kuna kula msosi. Na kadhalika. Kweli haya yote iwe dola 600 tu? Hata huko kwenye poorest areas za Marekani, kuna bili hazikwepeki. Anyways, watu tunatofautiana. Inawezekana yeye hiyo $600 inamtosha kwa kila kitu, na kuweza kuwekeza Tanzania $4,500 kwa mwezi. Ila watu huwa tunadanganywa sana na hawa so called diaspora. Kuna baadhi nimewasoma humu naona kidogo wanaeleza ukweli na uhalisia wa maisha ya Marekani. Ila wengine, mmmh, naona ni hadithi tu. Hayo ya kuchangishana kwa kuwa baadhi ya watanzania wana hali ngumu yapo kwa sana tu. Mara kwa mara utakuta Go fund me pages kusaidia sijui mtu kafiwa huko Tanzania hana nauli, au amelazwa lakini hawezi kilipia madeni ya hospitali. Anyways, hayo ya kuchangishana ni kawaida kila mahali.Kazi hizo za kada ya chini zipo nyingi sana haswa baada ya corona watu wengi wameacha kazi na hawataki kazi, lakini pia kazi hizo ni ngumu sana kuendesha maisha kwakuwa maisha ni ghali sana kuliko kipato, mfumuko wa bei ni hatari. Wamarekani wengi wanakimbilia Asia kama philipines, Thailand, Vietnam ambako maisha ni rahisi huku wakijaribu kazi za kufundisha kiingereza.
yawe
Kazi zipo ila ni hand-to-mouth na ni lazima ujitume ufanye kazi zaidi ya moja kwa siku, sio.mambo ya bongo saa 10 jioni kazi imeisha mpaka kesho.
Lazima uwe unafanya kazi 2 au 3 kwa siku yaani kulala labada masaa manne tu.
Pia kuishi kwa $600 marekani? Naona kama haiwezekani ,hayo yatakuwa ni maisha magumu sana.
Yote kwa yote kama huna la maana bongo bora kujaribu marekani fursa zipo za kukufanya uishi na ulipe bills. Yote kwa yote africa ndio kila kitu, wamarekani weusi wanahamia afrika haswa ghana na gambia kwa kasi sana hawataki kabisa kurudi kwao.
Mama D, Naogopa sana generalization, niko US siwezi kukueleza nimetuma mara ngapi pesa nyumbani za Matibabu na kusafirisha maiti, si mara moja au mara mbili. Kuchangia misiba ni jadi yetu, daftari la rambi rambi rambi karibu kila msiba utalikuta! Sasa unasemaji kwa mtu aliyeko mbali kama US. Kumbuka si wote Diaspora wanaofariki wanapitishiwa bakuli. Nimeona watu wakichukua Insurance za kukabiliana na mambo hayo, mimi ni mmojawapo, sitaki kumpa burden mtu yoyote wa US hata wabongo wenzangu!
Ndio maana nilisema kama hukuweza ku manage maisha Tanzania hata US inaweza kuwa hivyo! Tuliokuja kuishi Marekani ni sample ya Watanzania wote walioko nyumbani! Wasomi, wabangaizaji, watu wa vijiweni, kila sampuli ya Mtanzania iliyoko bongo iko US pia, tatizo lenu wengi unadhani ukiingia Marekani kuna miracle ina transform your personality! Hapana.
Nilisema mahali pengine kwenye article fulani, kuna wabongo hapa US nikiangalia maisha natamani niwarudishe Tanzania, lakini nikija Tanzania pia kuna jamaa ni wahangaikaji ila wamekosa opportunities natamani ningeweza kuwaingiza Marekani, na kna watu Tanzania wanalilia kuja Marekani nikiwaangalia tu najua Marekani hawatafika popote.
Sijui utasemaje Mama D.
Mbn Hakuna nafuu jmn umesema Kuna watu unawaona uko unatamani. Uwapandishe kwenye ndege kwa viboko warud tz kwann hkn Kaz zile za Dola 20 kwa saa jmn au Ni wavulivu was kufanya Kaz hzo mnk mnasema Kaz za vibarua zipo hao walioko huko kwann wamekosa na Hawa unawataka uwapeleke Tena uko wakatezeke Tena jmnMama D, Naogopa sana generalization, niko US siwezi kukueleza nimetuma mara ngapi pesa nyumbani za Matibabu na kusafirisha maiti, si mara moja au mara mbili. Kuchangia misiba ni jadi yetu, daftari la rambi rambi rambi karibu kila msiba utalikuta! Sasa unasemaji kwa mtu aliyeko mbali kama US. Kumbuka si wote Diaspora wanaofariki wanapitishiwa bakuli. Nimeona watu wakichukua Insurance za kukabiliana na mambo hayo, mimi ni mmojawapo, sitaki kumpa burden mtu yoyote wa US hata wabongo wenzangu!
Ndio maana nilisema kama hukuweza ku manage maisha Tanzania hata US inaweza kuwa hivyo! Tuliokuja kuishi Marekani ni sample ya Watanzania wote walioko nyumbani! Wasomi, wabangaizaji, watu wa vijiweni, kila sampuli ya Mtanzania iliyoko bongo iko US pia, tatizo lenu wengi unadhani ukiingia Marekani kuna miracle ina transform your personality! Hapana.
Nilisema mahali pengine kwenye article fulani, kuna wabongo hapa US nikiangalia maisha natamani niwarudishe Tanzania, lakini nikija Tanzania pia kuna jamaa ni wahangaikaji ila wamekosa opportunities natamani ningeweza kuwaingiza Marekani, na kna watu Tanzania wanalilia kuja Marekani nikiwaangalia tu najua Marekani hawatafika popote.
Sijui utasemaje Mama D.
Nilirudi nyumbani kumzika baba yangu Mzazi, mke wangu alirudi kumzika dadake, sikupitisha bakuli, najua baadhi ya Watanzania hawarudi kwa Mazishi, tatizo kubwa hawana Makaratasi, huwezi kukaa miaka marekani ukakosa go and return ticket, najua Kuna baadhi wachache navyoiona mimi, kikubwa kabisa sio nauli ni papers. Bila papers Uhuru wa kutoka na kuingia tena US ni shida.Jinsi Ulivyodadavua inaonekana Wazi Mzazi Wako au Ndugu yako Wa Karibu Akifariki ,Faster Unakata Tiketi ya Go and Return Kwenda Kumzika...!
Sasa Jiulize Wangapi Wana Uwezo huo...!.
TYK..!
Je ukiingia kwenye addictions za ulevi, madawa,umalaya,madeni utasaidiwaje?Marekani records zako za maisha zitakufuata mpaka kaburini, system haina msamaha kwa kiasi kikubwaMbn Hakuna nafuu jmn umesema Kuna watu unawaona uko unatamani. Uwapandishe kwenye ndege kwa viboko warud tz kwann hkn Kaz zile za Dola 20 kwa saa jmn au Ni wavulivu was kufanya Kaz hzo mnk mnasema Kaz za vibarua zipo hao walioko huko kwann wamekosa na Hawa unawataka uwapeleke Tena uko wakatezeke Tena jmn
Tanzania hatuna background check,usilipo kodi ya nyumba ni shida kupangishwa popote pale, uzembe barabarani hasa ulevi unaweza fungiwa leseni maisha, fikiri uko Texas,miji kama Dallas, usafiri wa kutumia gari ni almost 80%...umekwisha! Kupachika mimba mwanamke bila kuishi naye unapigwa Child support, inakatwa juu kwa juu popote utakapoajiriwa.Ukiamua kuachia zipu yako bila kufikiri utajuta, hiyo ndio Marekani.Je ukiingia kwenye addictions za ulevi, madawa,umalaya,madeni utasaidiwaje?Marekani records zako za maisha zitakufuata mpaka kaburini, system haina msamaha kwa kiasi kikubwa
Kwahiyo mnazungzia habari za South Africa na sio Marekani tena?Napafahamu Kempton park ndipo ulipo uwanja wa Oliver Tambo.
Ukienda mbele zaidi unafika East land mall uzunguni.
Mama D hapo umezungumza, kupata na kukosa ni popote ulimwenguni, yaani akili zako kichwani, mpangilio wako wa maisha unatengeneza hatima ya maisha yako.Marekani kuna opportunities, ndio,lakini wengine wanaona opportunities za Malaya, ulevi,starehe.nkWengine ni wavivu wa kuzaliwa, hata wangebaki Tanzania wangefeli kimaisha.Uzuri/ubaya wa bongo tunabebana kimaisha,wazembe, wavivu,ndugu, jamaa wana wa absorb. Marekani hakuna hiyo! Lazima ulipie uzembe wako! System imetengenezwa hivyo.Ndio hivyo generalisation sio powa
Ila sisi tukumbwa na dhahama pia ya kutuma pesa U.S. kusaidia waliokwama kimaisha wanalala kwenye magari hawawezi lipa rent. Wengine tumesafirisha kwa gharama za bongo hiihii
Hata America wako wanaopata na wanaokosa na huo ni ukweli ambao lazima usemwe
Ngono isiyo na mpangilio inatesa,hasa ikileta mtoto,nimeona Child support inavyoliza wengi.Huwezi kuikimbia.Labda urudi NyumbaniInaonekana Le mutuz alikimbia child support 🤣🤣🤣
Mpende Ndugu yako, mpende Jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe.Mawazo yako
Uko right, Leonardo Da Vinci alikuwa shoga.Leonardo Da'Vinci ndio nwanasayansi niliyemsona na kumfuatilia zaidi ila sijawahi kuona uthibitisho wa hilo...
It's just a Rumour.Hakuna kitu kama hicho Caesar Borgia na Leonardo waliCross path pindi Leo alipoajiliwa na Borgia as an architect. Karibia 80% ya Genius wote hua hawajihusishi na mapenzi ya aina yoyote so ukaribu wa leo na mwajiri wake inawezekana ndio uliofanya watu wazushe kwamba ni wapenzi since Vinci hajawahi kuonekana na mahusiano ya kimapenzi na Mwanamke.
Ni kama vile watu wanavyosema Yesu alikua na mahusiano na Maria Magdalene jambo ambalo sio kweli na mimi nishatazama documentary kuhusu jambo hilo ila halina uthibitisho dhahiri..
Hata huo ushoga wa juma lokole mimi siujui maana hakuna uthibitisho dhahiri juu ya hilo.
Huwezi kujua kwakua sio swala la ukweli. Na halina uthibitisho it's just a speculation.
Hahahah! Hamna namna inabidi urudi Tz ama ukae vizuri na mama watotoNgono isiyo na mpangilio inatesa,hasa ikileta mtoto,nimeona Child support inavyoliza wengi.Huwezi kuikimbia.Labda urudi Nyumbani
True la mcng kulinda watoto wako tu.Kuna kitu ukielewi, na ukija kikiekewa hutopata shida.
Hao mashoga huwezi kushindana nak kwa namna yoyote ndio wanaongoza dunia na ndio wanamiliki uchumi wa dunia.
Magenius wengi kama Leonardo Da Vinci ni mashoga. hao ni wa kuishi nao tu, muulize Makonda atakuhadhia vizuri maana angekuwa Marekani saa hizi.
ShukraniKazi tele