Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Sijamziba IP na wala sina uwezo huo hata ningetaka son.
Kweli. Na yeye hakusema wengine wasioane.
Sijamziba IP na wala sina uwezo huo hata ningetaka son.
ndo maana nimekuuliza unaelewa maana ya power of subcouncious mind
actuall research ya wataalam ilifanyika kuhusu why lottery winners end up broke
nakushauri o google uisome.....
Kuna vitu vipo more powerfull kuliko akili za kawaida
<br />
<br />
Ndo wanasemaga majuto ni mjukuu Asha...'ninge'....saa ngapi tena ushachelewa!
then boss ina maana sielewi vizuri... Hio naongeza katika "to learn list... "
na hio line ya mwisho nakubali kabisa!!
ya gaga ni old news
yes she did,
na alikuja hapa kusimulia why......
<br />BHT hua nashangaa saaana watu wanauvunga kupenda hali tayari wapo in...<br />
<br />
wewe tayari unajua uko katika huo uhusiano, but unaona ukifanya your level<br />
<br />
best mpenzi wako atajidai... yaani hapo nachoka kabisa!
Kwani ndoa ni lazima iwe hivyo? Au watu wote waliokuzunguka ndio wako hivyo?
Kwani huwezi kuwa na bwana tu - ambaye hajakuoa - akawa na tabia hizo hizo?
I am not crazy about marriage, but different strokes for different folks. You can't judge.
Waachie wanaopenda ndoa wajinafasi, wengine hawana hata matatizo.
Kuna argument kibao kuanzia za kiuchumi mpaka za kijamii za ku support ndoa.
Kama wewe una bahati mbaya ya kuzungukwa na wanaume wenye mfumodume sio kila mwanaume yuko hivyo.
<br />
<br />
Ashadii, huo mm ndo huwa naona upuuzi mwingine, na kwanza siamini kwenye dhana ya 'usimuoneshe' unampenda sana!!
Napenda jumla kama nimeamua, na ntafanya ninayopaswa kufanya hayo mengine matokeo tu.
nakushauri ka google hiyo why lottery winners go broke
au the power of subcounsious mind
utaelewa..
Hivi unaelewa hata mwanamke mzunguko wa siku zake unaweza mpelekea ku cheat?????
<br />
<br />
Ashadii, huo mm ndo huwa naona upuuzi mwingine, na kwanza siamini kwenye dhana ya 'usimuoneshe' unampenda sana!!
Napenda jumla kama nimeamua, na ntafanya ninayopaswa kufanya hayo mengine matokeo tu.
<br />I just dont know about this inf issue, it didnt work for me,sikuona nacho faidika zaidi ya kuwa na guilt muda wote
<br />Nakuunga mkono asilimia mia... kwanza personally nikiwa na mpenzi wangu ile<br />
<br />
dhana ya MAPENZI KIKOHOZI naona ilitungwa kwa ajili yangu... atajua tu nampenda<br />
<br />
Am not good with words za I Love you... But matendo will say it all!!
<br />Gaga My Marriage Mentor.... usiniambie umewahi cheat? au sijakuelewa...
<br />mmh wee bht una misimamo mikali. hivi umeolewa?
<br />
<br />
Wengine wanasema akijua unampenda atakusumbua sana/anakusumbua kwa kuwa ulimuonesha unampenda sana...lol!
Mm sio kikohozi bali kifaduro hasaa! Let him know i love him and the wholeworldwide too....!
<br />
<br />
Mhhh nilishawahi ila sikuambulia nilichokuwa natafuta baasi nikatulia,ila ni sababu ya mambo ya ndoa nikaona kama ni kimbilio huko nako nikakuta shubiri tu, ya zamani hii story looo
<br />maisha gani uishi na mpenzi wako asiweze kukusaliti na kukuchoka mapema?
<br />aaaisee hio in blue imenikosha hasa... Dah! Mimi naona mtu yeyete yule asemae<br />
<br />
sitamuonesha mapenzi atajidai... ndio ile list ya wanaokua na hao wapenzi wao not<br />
<br />
out of love but out of need... kwamba tu anamfaa then every thing is OK... Sad.
<br />
<br />
Kwanza ukishasema umpende 'nusu nusu'...kwangu hakuna mapenzi...usanii mtupu.
nataka staki doesnt apply in love life (at least to mine)
ukiamua kuyavulia maji ngup basi yaoge tu....
<br />Gaga huishi kunishangaza wewe mdada wewe.... Dah!<br />
<br />
Ile 17 years Anniversary kumbe na misuko suko humo humo...<br />
<br />
No wonder you seem to be a good person... the best way ni kujifunza tokana na makosa...