Maisha bora kwa kila m-danganyika...............

Maisha bora kwa kila m-danganyika...............

miaka ya hamsini ya uhuru ndani ya chama cha ccm kimeshachoka mpaka fikra tunatakiwa kubadilika sasa
 
CCM na serikali yao wameamua kucheza rafu na ndio maana jana wamepitisha bungeni sheria ya kukandamiza magazeti na waandishi wa habari!!Watu ni lazima wajitoe muhanga ili nchi hii ikombolewe kwani ccm hawataachia dola kwa kupitia sanduku la kura!!!!!!!!!!!
 
Bora shuzi
1379794_386387188130441_1720771771_n.jpg


1379445_242352775914562_2084986433_n.jpg


MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA.KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI
 
!
!
kuna haja ya kuwauliza hawa watawala wetu,kuwa nini maana ya neno 'kila mtanzania'........au turudi katika kamusi na rejea nyingine. nadhani tukishajua maana yake ndio turudi kuijadili kauli
 
Back
Top Bottom