Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,563
Tusidanganyane. Kwa hapa bongo 'booster haikwepeki kabisa ili mambo yaende.
Makazini, kwenye biashara na mtaani kwenye mishemishe kuna watu wa hovyo sana, wakwamishaji ni wengi sana. Vikwazo haviishi.
Ili mambo yawe smooth lazime ndumba ifanye kazi ili kuokoa muda na gharama. Mtaani kuna manyanyaso, vitisho, udini, ukabila sana.
Mganga ni mtu muhimu sana. Kila mwezi lazima nika-recharge, kwa gharama ndogo tu. Mambo yanakwenda.
Makazini, kwenye biashara na mtaani kwenye mishemishe kuna watu wa hovyo sana, wakwamishaji ni wengi sana. Vikwazo haviishi.
Ili mambo yawe smooth lazime ndumba ifanye kazi ili kuokoa muda na gharama. Mtaani kuna manyanyaso, vitisho, udini, ukabila sana.
Mganga ni mtu muhimu sana. Kila mwezi lazima nika-recharge, kwa gharama ndogo tu. Mambo yanakwenda.