ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,685
Ya kweli hayaHuko Zanzibar kura zilizokwisha kuhesabiwa ni 446,422 ambapo Maalim Seif Sharif Hamad wa ACT anaongoza kwa kura 245,219 sawa na 53.6% huku Dr.Hussein Mwinyi wa CCM akifuatia kwa kura 201,203 sawa na 44%. Wagombea wengine kwa pamoja wamepata chini ya 2% ya kura zote zilizokwisha hesabiwa hadi sasa.!
Nani kasema Maalim kashinda, mnapenda kulishwa taarifa za uongo na propaganda.pamoja na kufunga mitandao maalimu seif kidedea
Nani kasema Maalim kashinda, mnapenda kulishwa taarifa za uongo na propaganda.
Tuendelee kuwa pamoja mkuu...Mtoa mada comment yako kwenye mjadala flani umeiona inafaa kuanzishia uzi na umeleta hii...
Umenena vyema, kama umeshindwa kumhudumia wakala, je ukipewa jimbo utaweza?Wana JF,
Tunashukuru Mungu uchaguzi wetu umekuwa huru na haki. Sasa maisha baada ya uchaguzi yameanza rasmi...
Yaani kama siyo wewe, vile!!!Ha ha haaa!Wakuu wa nchi siye tunaochukuwa masomo ya ukubwani kwa njia ya mtandao tuna siku ya pili leo tunashindwa kupata masomo kutoka kwa walimu wetu. Chonde chonde msituharibie elimu yetu ya lala salama😭
Maisha lazima yaendeleeKuna watu lazima wajiaandae sasa kiakili.hasa Kagera na koote kulikokuwa na vidomo domo.
Wafanyakazi kwa nyanja zote mjiaandae zaidi kifrika.
Wale mliomba ajira zile mkaae vyema kiakili.Simama funga mkanda.