chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 12,180
- 25,418
Mkuu poleee sana.
Mtoto wa kiume wewe jikaze ndio sifa kuu.Habari ndugu zangu,
Asante kwa wote mliolia nami katika kifo cha binti yangu mpendwa aliefariki kwa uzembe wa watu wa afya, faraja yenu ilikuwa tiba sana sijaamini JamiiForums kuna watu wana roho nzuri hivi na wanaumia kwa matatizo ya watu.
Maisha baada ya maziko yamekuwa magumu sana muda wote nalia nimeshindwa kurejea kawaida, kwa sasa natamani kufa tu maana naona giza kuna njia yoyote ya kusaidia kuondoka hali niliyonayo?
Naishi peke yangu mama yake tulikuwa hatukai pamoja ila yeye baada ya msiba amehama mkoa kabisa.
Pole sana ndugu. Maisha ndivyo yalivyo na kukata tamaa haikubaliki. Jipe Moyo, huu ni wakati unapohitaji kusali na kuomba zaidi msaada wa Mungu.Habari ndugu zangu,
Asante kwa wote mliolia nami katika kifo cha binti yangu mpendwa aliefariki kwa uzembe wa watu wa afya, faraja yenu ilikuwa tiba sana sijaamini JamiiForums kuna watu wana roho nzuri hivi na wanaumia kwa matatizo ya watu.
Maisha baada ya maziko yamekuwa magumu sana muda wote nalia nimeshindwa kurejea kawaida, kwa sasa natamani kufa tu maana naona giza kuna njia yoyote ya kusaidia kuondoka hali niliyonayo?
Naishi peke yangu mama yake tulikuwa hatukai pamoja ila yeye baada ya msiba amehama mkoa kabisa.
Kijana wangu amelazwa regency hospital kwa matibabu, yaani hapa nilipo nipo ovyo ovyo tu, katoto kenyewe ka moja yaani.Kweli kabisa mkuu! Hii ilinikuta mwezi January, kijana wangu alianza kuhisi maumivu makali sana ya mgongo mpaka kukaa alikuwa hawezi. Akilala nako kuja kuamka ni shida! Yaani ikawa kukaa kwake mpaka aweke mto nyuma ya mgongo. Sasa anatakiwa kurudi shule kwa hali hiyo anasomaje masomo yake ya sayansi. Nilikuwa kila nikiingia namkuta anlivyokaa natoa machozi kama mwehu! Kwa kweli aliniliza sana! Namshukuru Mungu alisimama na sisi katika maombi sasa hivi mzima wa afya!
Umezungumza jambo zito sana, Mungu atusaidie. Mtoto anaumiza sana maana faraja yake akiwa ndani ya nyumba huwa ni ya kipekee sanaHutomuelewa mleta mada kama huna mtoto yaani mtoto purukushani zake huanza pale akitembea. Ndani ya nyumba huwa inachangamka sana akiwepo mtoto leo kaondoka milele. Nyumba huwa inapwaya sanaa mpaka unaichukia hakika mfiwa pole sana.
Kwioooo![]()
Mkuuu polee sana mkuuuHabari ndugu zangu,
Asante kwa wote mliolia nami katika kifo cha binti yangu mpendwa aliefariki kwa uzembe wa watu wa afya, faraja yenu ilikuwa tiba sana sijaamini JamiiForums kuna watu wana roho nzuri hivi na wanaumia kwa matatizo ya watu.
Maisha baada ya maziko yamekuwa magumu sana muda wote nalia nimeshindwa kurejea kawaida, kwa sasa natamani kufa tu maana naona giza kuna njia yoyote ya kusaidia kuondoka hali niliyonayo?
Naishi peke yangu mama yake tulikuwa hatukai pamoja ila yeye baada ya msiba amehama mkoa kabisa.
Just come nitakusaidiaHabari ndugu zangu,
Asante kwa wote mliolia nami katika kifo cha binti yangu mpendwa aliefariki kwa uzembe wa watu wa afya, faraja yenu ilikuwa tiba sana sijaamini JamiiForums kuna watu wana roho nzuri hivi na wanaumia kwa matatizo ya watu.
Maisha baada ya maziko yamekuwa magumu sana muda wote nalia nimeshindwa kurejea kawaida, kwa sasa natamani kufa tu maana naona giza kuna njia yoyote ya kusaidia kuondoka hali niliyonayo?
Naishi peke yangu mama yake tulikuwa hatukai pamoja ila yeye baada ya msiba amehama mkoa kabisa.
Pole sana brother! Jikaze kiume, utapata watoto Mungu ni mwema.Habari ndugu zangu,
Asante kwa wote mliolia nami katika kifo cha binti yangu mpendwa aliefariki kwa uzembe wa watu wa afya, faraja yenu ilikuwa tiba sana sijaamini JamiiForums kuna watu wana roho nzuri hivi na wanaumia kwa matatizo ya watu.
Maisha baada ya maziko yamekuwa magumu sana muda wote nalia nimeshindwa kurejea kawaida, kwa sasa natamani kufa tu maana naona giza kuna njia yoyote ya kusaidia kuondoka hali niliyonayo?
Naishi peke yangu mama yake tulikuwa hatukai pamoja ila yeye baada ya msiba amehama mkoa kabisa.
Pia soma - Kifo cha mwanangu kipenzi kimetokana na uzembe
Pole mkuu, endelea kuomba sana Mungu amsimamie! Apone haraka! Inaumiza sana! Kipindi kile mimi nililia mno. Mpaka nikawa nagoma hata kupokea simu za watu!Kijana wangu amelazwa regency hospital kwa matibabu, yaani hapa nilipo nipo ovyo ovyo tu, katoto kenyewe ka moja yaani.
thats nature binadam lazma afariki bila kujali umri wake,
hilo ni jambo tuu ambalo lingetokea na kukuumiza tuu hata baada ya miaka mingi mbele..
kufa niwajibu na lazma tujiandae tuu kuwa wapendwa wetu iko siku tutawakosa.
mimi nilifiwa mfululizo mwaka jana lakini nikakumbuka tuu kuwa binadam sisi ni wapitaji tuu.
usiwaze kujiua sababu utakuwa umetengeneza tatizo kubwa zaidi kuliko unavyodhani.
jikaze jaribu kutoka nje mbali na mazingira kumbukishi ya mwanao.
safiri kidogo km uwezo upo.
jichanganye na ndugu jamaa au marafiki..
piga mastori sana cheki muvi.
basi muda ukifika utapona tuu uwe sawa
Mmeacha makanisa yenu ya asili mliorithi mmekimbilia kwa wapiga dili..!!Mzee kanisa la Yesu linakuita nenda kanisani kama uko dar eagt city center kwa pastor katunzi ni sehem sahihi sana kusali....