The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,060
Binadam tumeambiwa kusahau, hiyo Hali itaisha baada ya muda. Ni kawaida kupitia Hali uliyonayo, Cha msingi usijidhuru.
Pole sana, hapa wengi tunaongea na kuelewa unachopitia lakini wewe binafsi ndio unajua uchungu na maumivu uliyonayo.
Sasa jiulize hili swali, wewe ni WA kwanza kufiwa na mtoto? Wewe ni WA kwanza kufiwa na ndugu? Majibu ya hayo maswali yote ni hapana, kama hao waliotangulia kufikwa na misiba wameendelea na maisha, elewa kwamba hata wewe hii Hali itapita baada ya muda.
Usiwaze kujidhuru Wala kutoa uhai wako, itaathiri utendaji wa kazi na maisha Yako usipokua makini.
Be Still
Pole sana, hapa wengi tunaongea na kuelewa unachopitia lakini wewe binafsi ndio unajua uchungu na maumivu uliyonayo.
Sasa jiulize hili swali, wewe ni WA kwanza kufiwa na mtoto? Wewe ni WA kwanza kufiwa na ndugu? Majibu ya hayo maswali yote ni hapana, kama hao waliotangulia kufikwa na misiba wameendelea na maisha, elewa kwamba hata wewe hii Hali itapita baada ya muda.
Usiwaze kujidhuru Wala kutoa uhai wako, itaathiri utendaji wa kazi na maisha Yako usipokua makini.
Be Still
hii kauli sijaielewa.