Inaonekana kwenye ubishani shulen ulikua mshindiUongooooo
Sisi tunahitaji Robot za kufanya nini wakati Vijana wetu tena Wasomi wahitimu wa Universities hawana Ajira? Bcoz Robot ni Replacement ya human Labour. Mimi naliona kama Sanamu Fulani hivi😡😡Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amekaribiishwa na roboti Eunice wakati akiingia bungeni leo Mei 16, 2024 ambapo uwasilishaji wa bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2024 / 2025, unafanyika.
Roboti hilo lililokuwa katika lango ya kuingia ukumbi wa Bunge na wabunge walipata nafasi ya kulisamilia na kuliuliza maswali na roboti huyo akijibu.
=====
Pia soma: Waziri wa Habari, Nape Moses Nnauye anawasilisha Bajeti ya Makadirio ya Mapato na Matumizi 2024/2025, Mei 16, 2024
Wawe cages lakini?Ikiwa zamu ya waziri wa Utalii itakuwa vizuri nae akiweka hapo Simba na tembo na fisi , kuonesha uhalisia wa wizara yake. Ummy Mwalimu sasa sijui aweke nini
Hiyo ni hatari Sheikh.Kwa nini wasiliite ROBOTI SAMIA ??
😎Hiyo ni hatari Sheikh.
kwanza tunashindana na jirani kaskazini pili tunawaduwaza wananchi wa kawaida ambao wataenda nalo redio mbao kwamba tupo vixuriHivi haraka huwa za nini!