Maigizo ama...!?

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
299,073
751,677
9c1c0774df49f95b912e06aa836db86b.jpg
 
Huo uwanja kama wa wachawi wanapo tulia na kurukia na nyungo zao au sehemu za wachawi za kuchezea footbal
 



Somalia hiyo. Mtu ukitoka nyumbani kwenda kunya uchochoroni au kwenda tu kumsalimia jirani ni lazima uende na bunduki maana maisha kule bila bunduki hautayafurahia. Jamaa yuko darasani anafundisha huku akihofia wanafunzi wake kumlipua au walimu wenzake kumfanyizia. Yet, kuna wazanzibari huko wanaona maisha haya ya roho mkononi ni raha kuliko ya Zenji, yaani mtu usipokuwa na akili ya kutafakari kweli ni janga.
 
Back
Top Bottom