Ezekiel Maige uliyekuwa Waziri wa Mali asili na utalii:
Chini ya uongozi wako, mwaka jana (2011) Tanzania tuliibiwa Twiga wanne (nembo ya taifa "national heritage") waliotoroshwa kwa kupitia uwanja wa ndege wa Kilimanjaro kwa vibali batili vilivyotoka wizara ya maliasili na utalii. Kama waziri wa wizara husika wakati huo, unawajibika moja kwa moja na huu ujangili wa hawa twiga wetu.
Wananchi: Tunataka uturudishie hawa Twiga wetu.
Hivi majuzi, mchana kweupe, Faru na mtoto wake (walioko kweney orodha ya "endangerd species") ambao JK aliwaomba kutoka South Africa ili wazaliane upya baada ya Faru tuliokuwa nao katika mbuga ya serengeti kuteketea karibu kumalizika kwaajili ya pembe, waliuwawa na pembe zao kuchukuliwa wakiwa chini uangalizi na ulinzi wa maafisa wa wizara yako. Hili pia limetokea wakati wewe ukiwa waiziri wa wizara husika. Unawajibika moja kwa moja na haya mauaji na huu ujangili wa Pembe.
Wananchi: Tunataka utulipe fidia kwa vifo vya hawa Faru na wizi wa Pembe zao.
Chini ya uongozi wako, mwaka jana (2011) Tanzania tuliibiwa Twiga wanne (nembo ya taifa "national heritage") waliotoroshwa kwa kupitia uwanja wa ndege wa Kilimanjaro kwa vibali batili vilivyotoka wizara ya maliasili na utalii. Kama waziri wa wizara husika wakati huo, unawajibika moja kwa moja na huu ujangili wa hawa twiga wetu.
Wananchi: Tunataka uturudishie hawa Twiga wetu.
Hivi majuzi, mchana kweupe, Faru na mtoto wake (walioko kweney orodha ya "endangerd species") ambao JK aliwaomba kutoka South Africa ili wazaliane upya baada ya Faru tuliokuwa nao katika mbuga ya serengeti kuteketea karibu kumalizika kwaajili ya pembe, waliuwawa na pembe zao kuchukuliwa wakiwa chini uangalizi na ulinzi wa maafisa wa wizara yako. Hili pia limetokea wakati wewe ukiwa waiziri wa wizara husika. Unawajibika moja kwa moja na haya mauaji na huu ujangili wa Pembe.
Wananchi: Tunataka utulipe fidia kwa vifo vya hawa Faru na wizi wa Pembe zao.